Ulipata kujiuliza Unabii katika Mathayo 24:14 utatimizwaje?

Ulipata kujiuliza Unabii katika Mathayo 24:14 utatimizwaje?

Dunia tambala bovu, huko kwingi e watu wanazungumza kutokuwepo Mungu, hapa tunazungumza mwisho wa Dunia. Wengine wako busy ku explore universes, mambo mengi kwakweli.
 
Ushahidi wa Soviet Union na Putin's Russia kukandamiza Ukiristo; lakini hataweza kuziia unabii. Daniel 11 inazungumzia mvutano kati ya Mfalme wa Kusini (USA& UK wakiungwa Mkono na Washirika wao dhidi ya Mfalme wa Kaskazini SOVIET/RUSSIA na Washirika wake) katika Daniel 11:20 inasema Mfalme wa Kaskazini atavunjwa ingawa si kwa hasira Wala vitani (kumbuka kilichoipata Soviet union 1991) na baada ya hapo ikaja Russia iliyodharaulika Dan. 11:21 ukiendelea kusoma mistari inayofuata utaona namna Russia ilivyoilaghai Dunia na baadae kuibuka kama taifa lenye nguvu kijeshi. Malizia mistari ya 44 na 45 uone atakavyoishia (aibu). Ndyo maana nasema tufuatilie kwa Karibu taarifa za Putin. Pamoja na unabii huu, lazima unabii mwingine katika. 1 Wathesolanike. 5:3 kwamba pale ambapo mwisho unatakakutokea ni lazima Dunia iseme Aha sasa tuna AMANI! hiyo itatokeaje iwapo Putin na shingo yake ngumu yupo!!??
View attachment 2613505View attachment 2613506
 
Math. 24:14 Na hii habari njema ya Ufalme itahubiriwa ktk Dunia yote inayokaliwa ili kuwa USHAHIDI kwa mataifa yote, na ndipo ule mwisho utakapo kuja. Lengo la Mungu ni kukusanya wanadamu wanyofu kutoka huko kwenye mifumo ya kijamii ambayo haiwapi uhuru wa kumjua Mungu wa Kweli na Mafundisho yake ya kweli (Biblia).

Hagai 2:7 Nami nitayatikisa Mataifa yote, vitu vya thamani vya mataifa vitaingia nyumba hii. Ufunuo 18:4 Tokeni kwake ninyi watu wangu, ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.

Maswali ninayotaka mtafalari ni haya:
1. Unakumbuka SOVIET UNION? je ulipata jua kuwa ilikuwa hairuhusu Ukiristo kama ulivyoruhusiwa nchi za Magharibi? Unakumbuka ilivyosambaratika? kwa sasa Putin anafanya shingo NGUMU, tuzifuatilie taarifa zake kwa karibu.

2. Unajua jinsi Ukiristo na Biblia vinavyopigwa vita katika Nchi za Kiislamu hususan zile za Kiarabu? Unakumbuka Arab Spring ilivyosababisha Waislam wengi kuhama nchi zao, vipi kuhusu YouTube na internet vinavyowasaidia Waislam wa nchi hizo kufikiwa na ujumbe wa Biblia? Mwana Mfalme wa Saudi Arabia inaonekana ameisha upata ukweli kwani Kuna Sera nyingi anabadili ambazo zitaleta uhuru wa kuabudu. Maayatolah wa Irani Bado Wana shingo ngumu, ndiyo maana Watoto wa kike wakaamdamana kukataa HIJABU

3. China kwa kiasi kikubwa hairuhusu Biblia kama ilivyo katika Nchi nyingine. Unajua namna Sera yao ya kupeleka wananchi wao kufanya kazi ng'ambo ilivyosaidia waujue Ukiristo?
Iran wapo wakristo China inaruhusu biblia acha ujinga kama hujawah kusafiri usiongee usiyoyajua. Hizo nchi Mimi nikiwa huko kanisani naenda kama kawaida. Sema hawapo wengi so unakosa lile vibe kama la hapa kwetu.
 
Iran wapo wakristo China inaruhusu biblia acha ujinga kama hujawah kusafiri usiongee usiyoyajua. Hizo nchi Mimi nikiwa huko kanisani naenda kama kawaida. Sema hawapo wengi so unakosa lile vibe kama la hapa kwetu.
mm nabaki na ujinga wangu, wewe uliyesafiri sana baki na werevu wako, lakini unabii wa biblia lazima utatimia; nakusikitikia kuwa kwa nyakati tuishizo unatimia kwa haraka sana na kukamilika nyakati zetu. Utang’amua wakati it’s too late. Watch out for the events unfolding in Russia
 
mm nabaki na ujinga wangu, wewe uliyesafiri sana baki na werevu wako, lakini unabii wa biblia lazima utatimia; nakusikitikia kuwa kwa nyakati tuishizo unatimia kwa haraka sana na kukamilika nyakati zetu. Utang’amua wakati it’s too late. Watch out for the events unfolding in Russia
Unabii unatimia lakin mengi uliyoandika sio kweli so ukisema uongo huna shirika na Mungu Chief
 
Unabii unatimia lakin mengi uliyoandika sio kweli so ukisema uongo huna shirika na Mungu Chief
Kuhusu China nimesema " kwa kiasi kikubwa China hairuhusu Biblia kama ilivyo nchi nyingine" hapa chini nakuwekea article kwenye gazeti la the Guardian la 2019, ambayo Inaonyesha kuwa si kwamba China Ina suppress Christianity bali imeenda mbali to rewrite the bible to suit their communist agenda"
 
Ona hii article jinsi China inavyo suppress the bible
Screenshot_20230627-122021.png
 
Hagai 2:7 Nami nitayatikisa Mataifa yote, vitu vya thamani vya mataifa vitaingia nyumba hii. Ufunuo 18:4 Tokeni kwake ninyi watu wangu, ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.
Wajua enzi hizo mataifa ilimaanisha ukanda huo wa Israel na jamaa zao hapo, sisi huku nasi tulikuwa na maelekezo toka kwa wakwetu ambao baadaye waliitwa washenzi
 
Hapa chini nakuwekea article kuhusu ukandamizaji ukiristo in Iran
 

Attachments

  • Screenshot_20230627-124053.png
    Screenshot_20230627-124053.png
    115.9 KB · Views: 8
Wajua enzi hizo mataifa ilimaanisha ukanda huo wa Israel na jamaa zao hapo, sisi huku nasi tulikuwa na maelekezo toka kwa wakwetu ambao baadaye waliitwa washenzi

Ndg zangu kwa niseme tu kuwa ninafarijika kuwa mnayaona haya ninayowaeleza kuhusu kile Biblia imetabiri kuhusu nyakati zetu. Najua mambo haya kuyaamini ni vigumu sana. Mungu katika 2 Peter 3:9 God doesn't desire any to be destroyed...
Hivyo ninacho wasihii ni kuwa jaribuni kufuatilia utimizo wa matukio niliyo yataja; kwa kuanzia fuatilieni kwa Karibu Putin na Russia. You knowledge of how the unfolding of these events may help you build confidence on bible prophesies
 
Math. 24:14 Na hii habari njema ya Ufalme itahubiriwa ktk Dunia yote inayokaliwa ili kuwa USHAHIDI kwa mataifa yote, na ndipo ule mwisho utakapo kuja. Lengo la Mungu ni kukusanya wanadamu wanyofu kutoka huko kwenye mifumo ya kijamii ambayo haiwapi uhuru wa kumjua Mungu wa Kweli na Mafundisho yake ya kweli (Biblia).

Hagai 2:7 Nami nitayatikisa Mataifa yote, vitu vya thamani vya mataifa vitaingia nyumba hii. Ufunuo 18:4 Tokeni kwake ninyi watu wangu, ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.

Maswali ninayotaka mtafalari ni haya:
1. Unakumbuka SOVIET UNION? je ulipata jua kuwa ilikuwa hairuhusu Ukiristo kama ulivyoruhusiwa nchi za Magharibi? Unakumbuka ilivyosambaratika? kwa sasa Putin anafanya shingo NGUMU, tuzifuatilie taarifa zake kwa karibu.

2. Unajua jinsi Ukiristo na Biblia vinavyopigwa vita katika Nchi za Kiislamu hususan zile za Kiarabu? Unakumbuka Arab Spring ilivyosababisha Waislam wengi kuhama nchi zao, vipi kuhusu YouTube na internet vinavyowasaidia Waislam wa nchi hizo kufikiwa na ujumbe wa Biblia? Mwana Mfalme wa Saudi Arabia inaonekana ameisha upata ukweli kwani Kuna Sera nyingi anabadili ambazo zitaleta uhuru wa kuabudu. Maayatolah wa Irani Bado Wana shingo ngumu, ndiyo maana Watoto wa kike wakaamdamana kukataa HIJABU

3. China kwa kiasi kikubwa hairuhusu Biblia kama ilivyo katika Nchi nyingine. Unajua namna Sera yao ya kupeleka wananchi wao kufanya kazi ng'ambo ilivyosaidia waujue Ukiristo?
zamani mimi nilikuwa naona kama mwisho upo mbali sana kwasababu fikra zangu ilikuwa ni kwamba, itabidi watu tutoke kwenda kuhubiri physically kila sehemu ya dunia kama north korea, china, Talibani, iraq na uarabuni n.k. nimekuja kugundua kuwa, injili tayari inafika kila pembe ya dunia kwa njia ya mtandao, hatuhitaji tena kwenda kwa ndege nchi za nje kuhubiri, unaweza kuwepo hapohapo kijijini kwako ukiwa na simu ukarusha mahubiri na dunia nzima ikayapokea na kusikia toka kwa Mungu.

hii pia inaambatana na ukweli kwamba, hakuna mtu atakayejitetea siku ile kwamba hakuwa na opportunity ya kuihubiri injili kwasababu majority tunatumia mitandao ya simu ila kwa mambo mabaya badala ya kusambaza injili. Mungu atusaidie tufahamu hili.
 
Kuhusu China nimesema " kwa kiasi kikubwa China hairuhusu Biblia kama ilivyo nchi nyingine" hapa chini nakuwekea article kwenye gazeti la the Guardian la 2019, ambayo Inaonyesha kuwa si kwamba China Ina suppress Christianity bali imeenda mbali to rewrite the bible to suit their communist agenda"
Bro mi kila miez 3 naenda china ninasali nina bible yangu hakuna anaeniuliza nazinguka huko mikoan achana na propaganda za wazungu Chief. Kule china ambacho hawaruhusu ni kusumbua watu kuhusu dini kwa kuwapigia kelele so ukiacha mikoa ya waighur ambao ni waislamu mikoa mingine yote huruhusiwa kupiga kengele au azana. Na hoja yao ni rahic tu kila mtu anaemuamin Mungu haihitajik kukumbushwa kwenda kusali so ukifika muda wa kusali nenda kasali. Acha kusumbua wangine wana haki ya kutokusikia kelele zenu.
 
Bro mi kila miez 3 naenda china ninasali nina bible yangu hakuna anaeniuliza nazinguka huko mikoan achana na propaganda za wazungu Chief. Kule china ambacho hawaruhusu ni kusumbua watu kuhusu dini kwa kuwapigia kelele so ukiacha mikoa ya waighur ambao ni waislamu mikoa mingine yote huruhusiwa kupiga kengele au azana. Na hoja yao ni rahic tu kila mtu anaemuamin Mungu haihitajik kukumbushwa kwenda kusali so ukifika muda wa kusali nenda kasali. Acha kusumbua wangine wana haki ya kutokusikia kelele zenu.
Take no note just like the world during Noah’s day; eat, drink & revelry like this world has several more decades
 
Kigoda mm siyo kabisa wa kunilinganisha na hao waliopumbazwa. Haya yote ninayowaambia kuhusu unabii wa Biblia ni kutokana na huruma kwani time remaining is so short; and there's no getting better from the down spiraling in the world conditions. Nime identify zile ishara kuu, na Bado mnadhihaki.
Nehemia 8:1,4-6

Kisha watu wote wakakusanyika wakiwa na kusudi moja katika uwanja wa jiji uliokuwa mbele ya Lango la Maji, wakamwambia Ezra mwandishi alete kitabu cha Sheria ya Musa, ambayo Yehova alikuwa ameamuru Waisraeli waifuate.

4 Na Ezra mwandishi alikuwa amesimama juu ya jukwaa la mbao, lililotengenezwa kwa kusudi hilo; na Matithia, Shema, Anaya, Uria, Hilkia, na Maaseya walisimama upande wake wa kulia; na upande wake wa kushoto Pedaya, Mishaeli, Malkiya, Hashumu, Hash-badana, Zekaria, na Meshulamu.
5 Ezra akakifungua kitabu mbele ya watu wote, kwa maana alikuwa juu kuliko watu wote. Alipokuwa akikifungua, watu wote wakasimama.
6 Kisha Ezra akamsifu Yehova Mungu wa kweli, Aliye mkuu, kisha watu wote wakajibu, “Amina! Amina!” nao wakainua mikono yao juu. Kisha wakamsujudia Yehova huku nyuso zao zikigusa ardhi.

UKIWEZA NAOMBA MAFUNDISHO HAYO UYAINGIZE KWENYE MATENDO,KUNA JAMBO KUBWA UTAJIFUNZA IKIWA UTAIPA UHURU NAFSI YAKO.
 
Nehemia 8:1,4-6

Kisha watu wote wakakusanyika wakiwa na kusudi moja katika uwanja wa jiji uliokuwa mbele ya Lango la Maji, wakamwambia Ezra mwandishi alete kitabu cha Sheria ya Musa, ambayo Yehova alikuwa ameamuru Waisraeli waifuate.

4 Na Ezra mwandishi alikuwa amesimama juu ya jukwaa la mbao, lililotengenezwa kwa kusudi hilo; na Matithia, Shema, Anaya, Uria, Hilkia, na Maaseya walisimama upande wake wa kulia; na upande wake wa kushoto Pedaya, Mishaeli, Malkiya, Hashumu, Hash-badana, Zekaria, na Meshulamu.
5 Ezra akakifungua kitabu mbele ya watu wote, kwa maana alikuwa juu kuliko watu wote. Alipokuwa akikifungua, watu wote wakasimama.
6 Kisha Ezra akamsifu Yehova Mungu wa kweli, Aliye mkuu, kisha watu wote wakajibu, “Amina! Amina!” nao wakainua mikono yao juu. Kisha wakamsujudia Yehova huku nyuso zao zikigusa ardhi.

UKIWEZA NAOMBA MAFUNDISHO HAYO UYAINGIZE KWENYE MATENDO,KUNA JAMBO KUBWA UTAJIFUNZA IKIWA UTAIPA UHURU NAFSI YAKO.
Okay
Romans 15:4 says"For all the things that were written beforehand were written for our instruction, so that through our endurance and through the comfort from the Scriptures we might have hope"
 
Back
Top Bottom