kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Ebu kila mmoja leo ajaribu kushare namna alivyofanya mpaka kupata connection yake iliyompa ajira aliyonayo.
Binafsi najitahidi sana kutafuta connection za ma hr wa kwenye mabank hasa nmb bank but siwapati.
So hebu jaribuni kushare experiences zenu hapa please.
Binafsi najitahidi sana kutafuta connection za ma hr wa kwenye mabank hasa nmb bank but siwapati.
So hebu jaribuni kushare experiences zenu hapa please.