Ulipataje connection yako iliyokupa ajira?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Ebu kila mmoja leo ajaribu kushare namna alivyofanya mpaka kupata connection yake iliyompa ajira aliyonayo.

Binafsi najitahidi sana kutafuta connection za ma hr wa kwenye mabank hasa nmb bank but siwapati.

So hebu jaribuni kushare experiences zenu hapa please.
 
Nakuona Afsa kipenyo
 
Naomba koneksheni πŸ˜‚
 
Kwa hiyo mshua alivyokata moto na connection nayo ikakata moto?
 
Yaani wewe unavyowala kimasihara hata nikiwa na genye zangu, sidhani kama nitakupa utamu lol. Ni bora nibaki na genye zangu kuliko kukupa wewe utamu
Nilitaka tu kujua kwamba "Hiyo miguu kwenye Avatar ni yako"??

Halafu kengine AM A GOOD BOY.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…