Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 524
Ndio ni yanguNilitaka tu kujua kwamba "Hiyo miguu kwenye Avatar ni yako"??
Halafu kengine AM A GOOD BOY.
#YNWA
Mungu anajua kuumba.Ndio ni yangu
Dodoma sehemu gani upo? Uko ndo sehem ya kujichanganya na ukijichanganya kuna wabunge, mawaziri, wakuu wa taasisi nyingi za serikali, wakuu wengi wenye vyeo majeshi mbalimbali na wengine wengi, kama unajifungua ndani uwezi kupata connection mkuu toka ujichanganye.Hello wapendwa tunaombeni mbinu jamani nipo mtaan mwaka wa 4 huu nna advanced diploma in accountancy hata internship nafanya tusaidiane wapendwa mimi nipo Dodoma
Tunajichanganya hivo hivo ila bado sijafanikiwaDodoma sehemu gani upo? Uko ndo sehem ya kujichanganya na ukijichanganya kuna wabunge, mawaziri, wakuu wa taasisi nyingi za serikali, wakuu wengi wenye vyeo majeshi mbalimbali na wengine wengi, kama unajifungua ndani uwezi kupata connection mkuu toka ujichanganye.
Unaufahamu mtandao wa Linkedin?Ebu kila mmoja leo ajaribu kushare namna alivyofanya mpaka kupata connection yake iliyompa ajira aliyonayo.
Binafsi najitahidi sana kutafuta connection za ma hr wa kwenye mabank hasa nmb bank but siwapati.
So ebu jaribuni kushare experiences zenu hapa please.
Ndio naufahamu na natumiaUnaufahamu mtandao wa Linkedin?
Binafsi au government... Masomo yapi?Nina 1M kama zawadi kwa atayeniunganisha na ajira ya ualimu,watapeli mkae mbali uchawi wa bibi ninao kwahy utatapeli milioni ila hutokaa uile..asanteni.
Lete pesa hiyo tuipigeNina 1M kama zawadi kwa atayeniunganisha na ajira ya ualimu,watapeli mkae mbali uchawi wa bibi ninao kwahy utatapeli milioni ila hutokaa uile..asanteni.
GovernmentBinafsi au government... Masomo yapi?
Una masomo yapi chifuGovernment
Biology and GeographyUna masomo yapi chifu