Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Habari wakuu,
Kwa wale wapambanaji wenye interest na biashara ya dagaa tunaweza kufanya biashara mimi sasa nipo kisiwa cha GOZIBA bei ya dagaa kwa sasa kwa gunia la dumu kumi ni 180000 mpaka 190000 leo zilifika mpaka 200k kwa gunia.
Dagaa ni nzuri sana sasa hivi mimi nauzia mwanza, kwa wale mlioko mikoani, Mbeya, Arusha, Morogoro, Kigoma, Dar es Salaam na Wilaya za Bariadi, Silali na Kahama huko bei zikoje? kama zinalipa tufanye biashara.
Kwa wale wapambanaji wenye interest na biashara ya dagaa tunaweza kufanya biashara mimi sasa nipo kisiwa cha GOZIBA bei ya dagaa kwa sasa kwa gunia la dumu kumi ni 180000 mpaka 190000 leo zilifika mpaka 200k kwa gunia.
Dagaa ni nzuri sana sasa hivi mimi nauzia mwanza, kwa wale mlioko mikoani, Mbeya, Arusha, Morogoro, Kigoma, Dar es Salaam na Wilaya za Bariadi, Silali na Kahama huko bei zikoje? kama zinalipa tufanye biashara.