Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
Miaka zaidi ya sitini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnatumia mshumaa kama uku kwetu sumbawanga?
Mafuta ya taa vip hayajapanda bei?Kibatari tunatumia
Mshachezesha mitambo mnapuya ga huko kwenye Plant then mnatindua vifaa mnauza kwa kuviita vibovu.mafuta yake halali yangu,
Hv songea mpo gridi ya taifa🤔🤔🤔Nashangaa hadi Songea leo hamna...wakati haukatagi huku😃😃😃
Mafuta ya taa vip hayajapanda bei?
Baba ake mkali kweli kweli.
hahahahahaMshachezesha mitambo mnapuya ga huko kwenye Plant then mnatindua vifaa mnauza kwa kuviita vibovu.
Hata najua basi 😀😀Hv songea mpo gridi ya taifa🤔🤔🤔
Vizuri kama unakumbuka,, nitakupa taarifa jirani usiwe na harakaJirani ndoa yenu lini? Nisije kusahau mana vitu vingi kichwani [emoji28]
Chai.hahahahaha
Plant is down
cause: Loss of excitation in stator windings
Mwanza Hamna umeme , maji pia ni wiki ya pili hii hayatokiNauliza tu maana naona watu wa mikoa mitatu wanalalamika umeme umekata.
Je ulipo wewe umeme upo?
Pia soma;
TANESCO yatangaza hitilafu ya umeme, mikoa kadhaa kukosa huduma ya umeme
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake leo August 22,2023 kuwa kumetokea hitilafu ya mfumo katika kituo cha uzalishaji umeme kwa njia ya gesi cha Ubungo II. “Hitilafu hiyo imesababisha mapungufu ya uzalishaji wa umeme kwa jumla ya megawati 268 kutokuwa kwenye mfumo...www.jamiiforums.com