Ngoja tuendelee kusubiri na sisi🤗🤗Shukran ila kimara umeme umerudi saiv huoooo
2% sio mchezo😃😃😂😂🙌
Kuna mahali wamesema umerudi huko juu...hope hautachelewa sana 🤗🤗nakurudi itakuwa usiku.
Dar ipi???Dar hakuna umeme kwa sasa.
Basi sawa...pole sana,, me naona bado iko 22% saizi 🤗🤗
Nikugawie charge?
huku nilipo haujawahi sumbua, upoNauliza tu maana naona watu wa mikoa mitatu wanalalamika umeme umekata.
Je ulipo wewe umeme upo?
tumuache asome chiefNikugawie charge?