Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

Nilikuwa zangu kitandani mara my Mr akaja akanambia "magufuli kafa" nilichukua simu yake ghafla kuangalia kama kweli maana wakati ule nilikuwa natumia kitochi na laptop niliona tabu kulogin jf.....
Basi bhana ikawa ni amani tu sikulala mpaka kesho yake saa 10 jioni ndo napata usingizi.
Apumzike tu yule mzee kwa yale mafekeche yake yalokuwa yanaendelea sirini na wateule wake sina budi kusema awekwe mahala alipojiandalia.
Haaaa umeeleweka
 
Mimi niliacha clouds fm on nikalala kwenye kisita hivi mara nikasikia nyimbo za maombolezo nikastuka sana nikajua kuna kitu nikazima radio ni kaja kuwasha saa nane nikaona bado zinaimba nikabadili tbc mara nikasikia magufuli aliwahi kuwa waziri wa ujenzi nikazima radio, sikulala usiku kucha yaani hamna amani moyo kuuma tu , nilikuja kuwasha tv na radio kesho yake saa kumi baada ya kuona watu wameongea sana nilikuwa natetemeka sana tu sitosahau
Pambana
 
Nilikuwa nyumbani.Ilikuwa ndiyo siku pekee katika maisha yangu ambayo niliwahi kuwa na furahaa kupitiliza.

Nakumbuka kwa mara ya kwanza katika maisha yangu siku hiyo nilitoa sadaka ya kuteketeza kumshukuru Mungu kwa kuniondolea uchafu katika Taifa langu.
Du! Mlitumia mbinu gani kummaliza jemedari wetu
 
Nilikuwa nyumbani.Ilikuwa ndiyo siku pekee katika maisha yangu ambayo niliwahi kuwa na furahaa kupitiliza.

Nakumbuka kwa mara ya kwanza katika maisha yangu siku hiyo nilitoa sadaka ya kuteketeza kumshukuru Mungu kwa kuniondolea uchafu katika Taifa langu.
Naona una furaha hadi sasa ,,, ila hii korona lazima iondoke na wote mlio husika na kufurahia kifo cha magu ,ndiyo maana wazarendo tumegomea kuvaa barakoa hadi korona iwafyeke wote , hii korona3 haiwezi kuwaacha salama
 
Pole mwanamageuzi mwenzangu mwamba kaanguka wanafiki ndo tunawaona sasa so sad ishi nao ila usiwaamini (wanadamu hao)
Hii korona itaondoka nao wengi walio furahia kifo cha magu hadi sasa 3 wamekenda bado vigogo
 
Natamani Sana March 17 2021 irudiwe, IRUDIWE!
Nilikuwa nipo Arusha kikazi, nikapigiwa simu mida ya saa5.30 usiku nikaambiwa meko kafa, sikuamini nikawasha data msg za magrouo zikaja mfululizo sio mchezo, nikathibitisha ni kweli pombe amemwagika.
Nikaamka Kwanza nikashea habari njema na wanyonge wenzangu, kilichofuata ni kuoga pombe pub ya jirani na kesho yake nikachomoka chap kuungana na wanyonge tukafanya party pale Majengo Moshi
Nimegundua wengi ya waliokuwa baa walifurahia kifo cha magu ,hii kielelezo kwanini mama samia kashusha bei ya pombe na kuongeza bei ya mafuta na simu
 
nilikua kuomba nisikie kauli yamwisho ya serikali

kweli nilisikia nikafarijika yamungu mengi yamwanadamu machache
 
Huu Uzi ufutwe tu unatonesha vidonda.
Huu uzi umetufungua kumbe waliokuwa baa ndiyo walio furahia zaidi kifo sasa tunaanza kujua kwanini serikali ya mama imewapendelea walevi kwa kuwatengenezea mazingira ya bei ya pombe kushuka
 
Habari za kifo chake nilikua nazisubiria kwa hamu sana,nilikua nashinda Twitter kwenye page ya kigogo kwa ajili ya updates. Niko zangu home usiku mara naona updates za kutoka kwa mama Samia kwamba pombe imemwagika. It bacame the happiest day of the year for me .
Haya petrol na makato ya kutuma na ya kutolea will make you happy even more.
 
Nilikua Tripple B Goba Counter ya Mbege nakula Bapa na club soda ..nipo TopTop...Counter akanushtua oyaa...cheki Tv kwa juu!...

Nikahamia Texas nikaanza gambe upya!
 
Vitu vingine sio vya kufanyia mzaha
Ilibidi wengine tukeshe mpaka asubuhi tu.. Tukimuomboleza kiongozi mzalendo kuliko wote
 
Nyie jamaa jamii yenu inaonekana ni ya watu wa fitna na umbea sana yani unapigiwa simu kupewa taarifa ya meko kufariki, real? Mkiacha shida zote tulizonazo kama taifa!
Hahaha
 
Back
Top Bottom