Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

Haaaa umeeleweka
 
Pambana
 
Du! Mlitumia mbinu gani kummaliza jemedari wetu
 
Naona una furaha hadi sasa ,,, ila hii korona lazima iondoke na wote mlio husika na kufurahia kifo cha magu ,ndiyo maana wazarendo tumegomea kuvaa barakoa hadi korona iwafyeke wote , hii korona3 haiwezi kuwaacha salama
 
Pole mwanamageuzi mwenzangu mwamba kaanguka wanafiki ndo tunawaona sasa so sad ishi nao ila usiwaamini (wanadamu hao)
Hii korona itaondoka nao wengi walio furahia kifo cha magu hadi sasa 3 wamekenda bado vigogo
 
Ule usiku kwangu ulikuwa wa furaha, nilikuwa bar moja karibu na kambi, tulipiga pombe kwa furaha had kunakucha
Mbona walevi ndiyo wengi mlifurahi ndiyo maana mama kapunguza bei ya bia?
 
Nimegundua wengi ya waliokuwa baa walifurahia kifo cha magu ,hii kielelezo kwanini mama samia kashusha bei ya pombe na kuongeza bei ya mafuta na simu
 
nilikua kuomba nisikie kauli yamwisho ya serikali

kweli nilisikia nikafarijika yamungu mengi yamwanadamu machache
 
Huu Uzi ufutwe tu unatonesha vidonda.
Huu uzi umetufungua kumbe waliokuwa baa ndiyo walio furahia zaidi kifo sasa tunaanza kujua kwanini serikali ya mama imewapendelea walevi kwa kuwatengenezea mazingira ya bei ya pombe kushuka
 
Haya petrol na makato ya kutuma na ya kutolea will make you happy even more.
 
Nilikua Tripple B Goba Counter ya Mbege nakula Bapa na club soda ..nipo TopTop...Counter akanushtua oyaa...cheki Tv kwa juu!...

Nikahamia Texas nikaanza gambe upya!
 
Vitu vingine sio vya kufanyia mzaha
Ilibidi wengine tukeshe mpaka asubuhi tu.. Tukimuomboleza kiongozi mzalendo kuliko wote
 
Nyie jamaa jamii yenu inaonekana ni ya watu wa fitna na umbea sana yani unapigiwa simu kupewa taarifa ya meko kufariki, real? Mkiacha shida zote tulizonazo kama taifa!
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…