Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,420
- 3,772
Me nilikuwa v lounge, moshi town, nakula vyombo na mchuchu, sina hili wala lile, mara simu inaita, na mziki, nikasema bro ni nn usiku usiku na misimu.
Yaye hakuwa anamkubali Magu, mimi namkubali mbayaa, hadi kiama. Zile fununu tukawa tunabishana sana wanamzushia. Napokea simu naziba sikio moja nimsikilize freshi.
Bro ananiambia, dogo cheki tbc Samia anahutubia taifa, nilivosikia tu hivyo, moyo ukapiga paaa.
Yaye hakuwa anamkubali Magu, mimi namkubali mbayaa, hadi kiama. Zile fununu tukawa tunabishana sana wanamzushia. Napokea simu naziba sikio moja nimsikilize freshi.
Bro ananiambia, dogo cheki tbc Samia anahutubia taifa, nilivosikia tu hivyo, moyo ukapiga paaa.