Wewe Lengai, umepata wapi simu na wakati uko mahali salama!!! Ni wewe peke yako unayemuita hayati 'daddy'Continue to Rest in peace dady..
[emoji25][emoji25][emoji25]
Uliteketeza nini we faraNilikuwa nyumbani.Ilikuwa ndiyo siku pekee katika maisha yangu ambayo niliwahi kuwa na furahaa kupitiliza.
Nakumbuka kwa mara ya kwanza katika maisha yangu siku hiyo nilitoa sadaka ya kuteketeza kumshukuru Mungu kwa kuniondolea uchafu katika Taifa langu.
Mimi ni 'fara' na wewe ni fala!😁Uliteketeza nini we fara
Pole mwanamageuzi mwenzangu mwamba kaanguka wanafiki ndo tunawaona sasa so sad ishi nao ila usiwaamini (wanadamu hao)Me nilikuwa v lounge, moshi town, nakula vyombo na mchuchu, sina hili wala lile nataka nikale zigo, mara simu inaita, na mziki, nikasema bro ni nn usiku usiku na misimu, yy hakuwa anamkubali magu, mm namkubali mbayaa, hadi kiama. Zile fununu tukawa tunabishana sana wanamzushia. Napokea simu naziba sikio moja nimsikilize freshi.
Bro ananiambia, dogo cheki tbc Samia anahutubia taifa, nilivosikia tu hivyo, moyo ukapiga paaa.
So mzigo uli cancel kula au show ngumuMe nilikuwa v lounge, moshi town, nakula vyombo na mchuchu, sina hili wala lile nataka nikale zigo, mara simu inaita, na mziki, nikasema bro ni nn usiku usiku na misimu, yy hakuwa anamkubali magu, mm namkubali mbayaa, hadi kiama. Zile fununu tukawa tunabishana sana wanamzushia. Napokea simu naziba sikio moja nimsikilize freshi.
Bro ananiambia, dogo cheki tbc Samia anahutubia taifa, nilivosikia tu hivyo, moyo ukapiga paaa.
Hivi kifo chake hakikutangazwa kwanza na makamu wake? I mean watu walianza kupata habari kabla Samia hajatangaza? NB: Sizungumzii ule uvumi uliokuwepo tangu aanze kuugua mpaka kwenye tarehe 12 Chahali alipoandika rasmi kwenye Twitter kuwa amekufa. Naulizia serikali kutangaza rasmi. Turudi kwenye mada: Mimi niliposikia ni mgonjwa nilikuwa na mashaka kwani kile kipindi kingine alivumishwa tena anaumwa taabani.Mie nilikua kitandani najiandaa nilale nikapigiwa simu na sister angu ananiuliza kuna habari gani huko mjini nikamwambia huku shwari hakuna shari akasema mbona nasikia Rais amefariki? Nikacheka sana nikamtoa wasi wasi sister atulie tulii kuna wazushi wanapenda kuzusha mambo akasema ameona kwa Zamaradi kapost, nikashtuka kidogo nikamwambia wait nitamcall back, mie mbio mbio hadi Jamii Forum nakutana na TANZIA kuuuuubwa, nililia kwa uchungu daaaah hadi leo hua napata ukakasi sana kumuita Hayati Magufuli nahisi bado yupo nasi,
Continue to rest easy Mzalendo wa kweli,
[emoji24][emoji24]
Ujue kutofautisha kati ya "daddy" na "father" mkuu.Wewe Lengai, umepata wapi simu na wakati uko mahali salama!!! Ni wewe peke yako unayemuita hayati 'daddy'
TulicancelSo mzigo uli cancel kula au show ngumu