terasy
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 481
- 133
Nimekumbuka mwingine....
Upendo wa Mungu ni mkuuuu
Unapita vitu vyoteeee
Hata milima mirefuuuu
sijui nini na nini........
......
Kwa kuandika Upendo huooo wino unge ee kwishaa.
bahari na ziwe winoo mbingu ziwe karatasi na miti iwe kalamu kila mtu awe mwandishi kulihusu Pendo hilo wino ungeee Kwishaa. wimbo mzuri sana huu naupenda mpaka kesho