Ulipokuwa mdogo ulitamani kuwa mkubwa, ni nini kilikuvutia kuwa mkubwa?

hahahahhaha nije nimevvaaaje?
maana inategemea unapenda uvaaji gani wewe?


Kimini tu bila kufuri inatosha, si unajuwa tena wikiendi ndo imeanza hivyo, watu mnaanza kujibariki kiaina kwanza na ndiyo maana nakuomba uje uniombee na kunibariki.
 
Kimini tu bila kufuri inatosha, si unajuwa tena wikiendi ndo imeanza hivyo, watu mnaanza kujibariki kiaina kwanza na ndiyo maana nakuomba uje uniombee na kunibariki.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Ndio mkuuu.lakin cha ajabu nakimbia kushirikishwa kweny vikao sasa.haaah sijui imekaaje hii mkuu
Ndo kubalikiwa tena huko hongera sana ikiona mpaka unashirikishwa kweny vikao vya familia au hata vya harusi au matukio mengine ujue una uwezo na we unadhamani ktk familia hata jamii au ukooo.
 
Nilipokuwa mdogo nilitamani sana siku moja kuwa katika mahusiano. I longed to know what it meant to fall in love and be in love.

Nilijitunza sana and I lived a fairy tale life as Cinderella waiting for my prince charming.

Then I grew up and took long to snap out of my fairy tale character. Yes I met my prince charming, gave him my all but realised there is nothing like happily ever after.

There are in its stead ups and downs that make the bond stronger each day.

And yes I never regretted staying morally upright all this time.
 
ukiwa mtoto wataka kuwa mkubwa..
ukishafika ukubwani unataka kurudi utotoni..[HASHTAG]#BenjaminBurton[/HASHTAG]
 
lucky you..there are those who still live in fairytales to this day!

congrats though for not compromising your morals..
 
Nilikua napenda sana kulala sasa tatizo kuamka SAA kumi na mbili eti nawahi shule hakuna kitu nilikua natamani kama na Mimi niwe mkubwa niwe nalala mpaka muda nitakaojisikia ...nilikua nawaonea wivu sana walimu eti anakuja shule SAA mbili


Hahaha
Hukujuwa kama unavukuwa ndio
- matatizo yanaongezeka,
-majukum yanaongezeka
Inakuwa balaa zaidi

Ninaamka asbh 11 kila siku
 
Write your reply...Nilitamani kuwa mkubwa ili niwe navaa khanga,niwe huru kujiremba,niwe huru na maamuzi yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…