Ulipokuwa mdogo ulitamani kuwa mkubwa, ni nini kilikuvutia kuwa mkubwa?

Ulipokuwa mdogo ulitamani kuwa mkubwa, ni nini kilikuvutia kuwa mkubwa?

Sio siri Mimi sikutamani kabisa kuwa mkubwa maana kuna kasauti kalikuwa kanakuja kichwani kananiambia "don't grow up its the trap" kanasema "usikue ni mtego"

But papuchi ilikuwa inakinzana na wazo langu hapo juu. Maana ili ugegede kwa Uhuru lazma ukue.
Haya buana kugegeda papuch tu ndo ulitamani
 
Mimi wala sitaman kuwa mkubwa sipendi uzeee jaman uwii nilitaman niwe kisichana tu miaka yoteee ili niwe naringa
Cjasema kuwa mzee bali kuwa mkubwa wakat upo mdogo mfano darasa la 4 au 5 nk kipindi hiko hujatamani kuwa msichana mkubwa ili utongozwe hata kugegedw[emoji23] [emoji23]
 
Hongera mtoa uzi inaonesha watz wengi wana akili mfanano tena - hakuna anaewaza kuwa awe na kitu flani cha kipekee wote wawaza ngono tu hakyananiii yakhe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Enzi hizo Sayansi kuna mada km Kanuni za Mwendo za Bwana Newton
Nilitamani sana nije kua bonge la mwanasayansi na mvumbuzi mkubwa Duniani.....ila ndo ivyo tena elimu ya bongo umesoma Engineering unaenda kua Muhasibu hahahahaaaaaaa!!
Huhuhuuu
 
Wewe hujasema lakini ulikuwa unatamn kitu gani au hukutami kuwa mkubwa ww
mimi sijawahi kutamani kuwa mkubwa ila sasa natamani sana kuwa mdogo

teh teh
na sababu ni hizi hapa
1. sitakuwa na muda wa kufikiri nitakula nini au nitavaa nini?
2. nikiambiwa kalale nitafurahi na kwenda very fast
3. sipendi nifike miaka mitatu maana nitaambiwa n iende shule kitu ambacho sikipendi kabisa.
So kwa maana hiyo natamani mwaka mmoja hadi miwili na nusu nibaki hapo hapo
nitafurah sana kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom