Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilipona kwa njia za Asili, nakumbuka nilifukizwa na kunywa dawa.Inaelezwa kuwa karibu watu wote wanaugua Surua na Tetekuwanga kwa nyakati tofauti katika ukuaji wao.
Mara kadhaa nimeshuhudia wazazi wengi wakiwatibu watoto wao kwa dawa za Asili wakieleza kuwa hutibu haraka na kwa uhakika.
Lakini kwanini hawataki kuwapeleka Hospitalini kupata ushauri wa kitaalamu na kupatiwa dawa sahihi?
Unakumbuka nini kuhusu Surua na Tetekuwanga? Karibu.
Ndio ya hospitaliYa Hospital?
Hatupuuzi tunataka kujua tuMimi nilipona kwa njia za Asili, nakumbuka nilifukizwa na kunywa dawa.
Why mnachukulia poaa njia zilizo tunza vizazi vya wazee wetu. Cha ajabu wagen wanazikumbatia kisha miaka ya baadae wana ileta na kutuuzia kwa ghalama kubwa.
Nikua na mwezi mmoja nakumbuka nililia sana nikanyonya nikalala nikajipata kesho yake nimeponaInaelezwa kuwa karibu watu wote wanaugua Surua na Tetekuwanga kwa nyakati tofauti katika ukuaji wao.
Mara kadhaa nimeshuhudia wazazi wengi wakiwatibu watoto wao kwa dawa za Asili wakieleza kuwa hutibu haraka na kwa uhakika.
Lakini kwanini hawataki kuwapeleka Hospitalini kupata ushauri wa kitaalamu na kupatiwa dawa sahihi?
Unakumbuka nini kuhusu Surua na Tetekuwanga? Karibu.
Hiyo calamine lotion yenyewe zaid ya kupunguza muwasho hainakazi nyingine.Dawa ni calamine lotion na dawa za kupunguza homa. Tetekuwanga hazina dawa same with mumps. P¹0 kwa muda wa siku 3 mpk week zinakuwa zishakauka. Labda uwe na zile mojamoja zinokuwa na vidonda deep
Somehow inasaidia ku cool lile joto linosababisha muwashoHiyo calamine lotion yenyewe zaid ya kupunguza muwasho hainakazi nyingine.