Namkunda OG
JF-Expert Member
- Nov 17, 2015
- 827
- 1,048
Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?
Habari zenu wana JF, samahani sana kwa usumbufu kama vile tujuavyo misemo ya wahenga kuwa mficha uchi hazai. Since mwezi wa nne nasumbuliwa na hili tatizo nimetumia dawa nyingi sana ant fungus kama zote za tube mpaka za kopo ila bado tatizo linanisumbua. Ninawashwa sana mwilini na vijipele...
Samahani mwenye huu uzi tunaomba mrejesho plz