KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Ndio tumekubali tutakula kwa urefu wa kamba zetu,lakini unajua Kuna mbuzi wanakamba moja tu..?
Wewe unakamba nyingi na nyengine wawezakuwa umezisahau ila zipo!.. sikufundishi ila sijui umewawaza wenye kamba moja..?
Kula,kunywa,Kodi,usafiri na gharama zao zote za maisha hutegemea kamba hiyo moja!,vipi Kama kamba hiyo ikisuasua ama kukatika..? Nafikiri unajua nini kitawapata.
Sasa basi jua kuna mtu anakipiga shoti kiti chako! Na ameshikiria waya mkuu ambao waya huo ni nyenzo ama ni kamba ya baadhi ya watu ambao hutegemea Kama kamba yao ya pekee ya kusimama!.
Wanapiga kelele sidhani kama unasikia ila nahakika hata kama husikii basi unaona!.
Vipi na kule kwenye harufu ya fedha umesikia kelele za vijana wakidai pafunguliwe..?
Hili si geni kwako uliligusia kule mwanza wakati wa ufunguzi wa tawi la harufu ya fedha na kauli yako ilisikika hadi kimataifa!,ikaongeza thamani moja kati ya fedha mtandao!.
Lakini bado kupo mahali kunatakiwa pawekwe sawa wao wanajua na kelele zinazidi siku hadi siku... Kwenye hili jua kuna kodi unazozitaka lakini zinakupita kwani watu wako kwenye harufu fedha nahisi wameshiba mi sijui!.
Wenye kamba moja sio kwamba hawaoni,wanaona ila hawana cha kufanya na sio kwamba hawana cha kufanya wanacho siku watakapounga kamba zao na kuongeza kelele ambazo zinaweza pasua ngoma!.
Wafikirie na wenye kamba moja moja maana ndio wengi zaidi na maamuzi yako huwagusa zaidi.
Wewe unakamba nyingi na nyengine wawezakuwa umezisahau ila zipo!.. sikufundishi ila sijui umewawaza wenye kamba moja..?
Kula,kunywa,Kodi,usafiri na gharama zao zote za maisha hutegemea kamba hiyo moja!,vipi Kama kamba hiyo ikisuasua ama kukatika..? Nafikiri unajua nini kitawapata.
Sasa basi jua kuna mtu anakipiga shoti kiti chako! Na ameshikiria waya mkuu ambao waya huo ni nyenzo ama ni kamba ya baadhi ya watu ambao hutegemea Kama kamba yao ya pekee ya kusimama!.
Wanapiga kelele sidhani kama unasikia ila nahakika hata kama husikii basi unaona!.
Vipi na kule kwenye harufu ya fedha umesikia kelele za vijana wakidai pafunguliwe..?
Hili si geni kwako uliligusia kule mwanza wakati wa ufunguzi wa tawi la harufu ya fedha na kauli yako ilisikika hadi kimataifa!,ikaongeza thamani moja kati ya fedha mtandao!.
Lakini bado kupo mahali kunatakiwa pawekwe sawa wao wanajua na kelele zinazidi siku hadi siku... Kwenye hili jua kuna kodi unazozitaka lakini zinakupita kwani watu wako kwenye harufu fedha nahisi wameshiba mi sijui!.
Wenye kamba moja sio kwamba hawaoni,wanaona ila hawana cha kufanya na sio kwamba hawana cha kufanya wanacho siku watakapounga kamba zao na kuongeza kelele ambazo zinaweza pasua ngoma!.
Wafikirie na wenye kamba moja moja maana ndio wengi zaidi na maamuzi yako huwagusa zaidi.