Magulumangu pole bana....next time we mpe tu salamu huwezi jua labda na yeye anakusaka sana!Mie nilikuwa la tano akaja demu mgeni faster faster nikaanza kummendea, mama ake alikuwa mwalimu akajua issue acha anipe kipondo, kumbe msichana aliacha barua ikaonwa na mama yake...kumbe mama kachochea, mtoto katoa keki mie ndani ya nyavu...ndo alinitoa ushamba na yeye alikuwa darasa la saba..mwaka jana niemuona tena kawa mzuri jamani na yuko office moja nyeti mie nilipomuona nikajificha maana life limenigeukia....
Pia vinaanguliwa....
Mhuu!!!Hata mimi nilijua hivy sasa huyu anatotoa dah! Haya bana makaangua mapera!
Duh kwa hiyo bado mnakumbushia???
Mhuu!!!
Na nazi inafanywaje?!
Nazi inaanguliwa teh tehteheeeeeeeee
Hehehehe....mananasi je???
kuku wangu katagia miibani........................
Umepata!Hahhaha..,,sasa hilo ndo jibu???
NANASI!!
Umepata!
Kwani si nanasi linatagwa ama?
:a s 103::a s 103:hahahhaha..,,uchakachuaji sasa huu!!!
Mie nilikuwa kama 10 hv ila huyu wa kibaba na mama, na alikuwa akipangiwa mama mwingine anaondoka.nilimpenda ila wakaondoka na family yake kwenda kuishi nje ya nchi.Yeah wangu! tangu kipindi hicho nikajakutana nae ukubwani kwenye ndege tunaenda arusha hiyo mwaka juzi tulivyofika huko tena heeeeeeeeeee.......%^&*$#@)(*&&....LOL
Sasa nimegundua kwanini ndoa au mahusiano ya sasa hayadumu! kumbe watu walianza tangia utotoni kwenye chekechea na primary na kisha kumbukumbu ziko vichwani?! hii inamaanisha unapompata wa ukubwani unakuwa hujaridhika kunako nafsi yako inabidi umuwaze yule wa utotoni na kutaka kumfananisha naye na huyu wa sasa!
Hapana zile za utoto ni hisia za kawaida za kitoto nadhani woote wenye utashi wanapitia tht stage, na huwezi ukawa umemweka kuwa vile alivyokuwa kitoto ndivyo atakavyokuwa kwenye utu uzima, kwani katika utoto nadhani formula ni moja tu, girl likes boy, boy likes girl...
Ukubwani unavutiwa na mengi maana umeshapevuka, ila kama huyo wa primary ulivuka naye hadi sekondari labda...
Mimi baba alikuwa mtumishi wa SU so kuhamahama nilimalizia Monduli huko, mdogo darasa zima na njemba zote zilikuwa tayari ni morani, I didn't fancy anybody!