Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Pisi zote kali zinakasoro niliwahi kutana na moja somewhere huko ilikuwa pisi moja kali sio mchezo tatizo ni nilipo anza kuitumia tu ni kama nilikaribisha mikosi kweny maisha yangu asee pia wanajiamini sana hata kitandan ye analala tu mpaka umwambie geuka hivi akigeuka hivyo ndo basi yaniii
Dah aicee umeongea pweinti ya maana sana. tena hakuna hata mmoja aliyeigusia humu. watu wapo na mbunye tu na visirani vya mabebi mama wao.

Hii kitu ya mikos mm nimewahi kuisikia kwa jamaa yangu akinishuudia maisha yake mwenyew binafs. Alinambia kuna dem ukiwa naye utaona mambo yanakwendea fresh adi mwenyew utashangaa ila kuna wengine wana mikosi ukiwa naye utashangaa hata km ulikuwa na michongo yako fresh itaanza kugoma mmoja baada ya mwingine na usiposhtuka mapema lazma uokote makopo au utashangaa mambo yako hayaendi tu.

Wale jamaa wa kusoma nyota wanakwambia sio kila mtu ni wa kuoana naye inatakiwa uangalie nyota zenu km zinaendana. km haziendani ndoivo mnaishia kuzalisha familia yenye mikosi.
 
asilimia kubwa watu kuamini mambo ya imani upande mwingine ni ngumu na wanaokazia wasijuie ni wachawi na wanayo yajua humu.
sio kila mtu utakaye kutana naye anaweza kuwa nyota yako kutoka kimaisha,kuanzia rafiki,mpenzi,biashara,makazi,eneo,sanaa na n.k
 
Dah aicee umeongea pweinti ya maana sana. tena hakuna hata mmoja aliyeigusia humu. watu wapo na mbunye tu na visirani vya mabebi mama wao.

Hii kitu ya mikos mm nimewahi kuisikia kwa jamaa yangu akinishuudia maisha yake mwenyew binafs. Alinambia kuna dem ukiwa naye utaona mambo yanakwendea fresh adi mwenyew utashangaa ila kuna wengine wana mikosi ukiwa naye utashangaa hata km ulikuwa na michongo yako fresh itaanza kugoma mmoja baada ya mwingine na usiposhtuka mapema lazma uokote makopo au utashangaa mambo yako hayaendi tu.

Wale jamaa wa kusoma nyota wanakwambia sio kila mtu ni wa kuoana naye inatakiwa uangalie nyota zenu km zinaendana. km haziendani ndoivo mnaishia kuzalisha familia yenye mikosi.

Imani tu hzo mkuu
 
Dah aicee umeongea pweinti ya maana sana. tena hakuna hata mmoja aliyeigusia humu. watu wapo na mbunye tu na visirani vya mabebi mama wao.

Hii kitu ya mikos mm nimewahi kuisikia kwa jamaa yangu akinishuudia maisha yake mwenyew binafs. Alinambia kuna dem ukiwa naye utaona mambo yanakwendea fresh adi mwenyew utashangaa ila kuna wengine wana mikosi ukiwa naye utashangaa hata km ulikuwa na michongo yako fresh itaanza kugoma mmoja baada ya mwingine na usiposhtuka mapema lazma uokote makopo au utashangaa mambo yako hayaendi tu.

Wale jamaa wa kusoma nyota wanakwambia sio kila mtu ni wa kuoana naye inatakiwa uangalie nyota zenu km zinaendana. km haziendani ndoivo mnaishia kuzalisha familia yenye mikosi.
ni kweli kabisa maana haikuishia kwamba ni mimi tu ila hata aliye nitangulia pia aliishia kukwama kabisa mpaka akapotea mtaani kabisa. kweli hii kitu ipo na hata nilipo ongea na watu waliniambia kuna watu mpaka wamepoteza kazi sababu ya mikosi kutoka kwa wanawake wa hivyo..
 
Swadaktaaa?

Back, nikiwa 3rd year nilishwai miliki chombo kali sana aisee huyu dada alikuwa ni pisi kali sana, moja ya pisi nilizotoka nazo anaingia top3. Alikuwa ni mzuri balaa. Ni pisi ambayo ikikatiza lazma ugeuke uitizame.

Tatizo la huyu dada ilikuw ni kujikojolea usiku hii ndo kasoro aliyokuwa nayo pamoja na uzuri wote. Siku niliyokuja fahamu ana hili tatizo ni siku ambayo tulitoka out night ikabd tulale lodge, nilishuhudia live demu akikojoa mpaka nikahisi maybe nilimkuna sana kumbe ndo tatizo lake. Ndio kunambia ukweli wa tatizo lake.

Hatukudumu sana tuliachana, sijui kama alipona au bado.
Pole yake
 
Nilipata pisi kali moja jeupe kama RAHA P tatizo kwenye tako moja limechora jina la bwana ake wa zamani so during dog style session nikiona ile TATOO mzuka unakata mpaka dusherere linaishiwa nguvu.
Hahaha
 
Eebana mimi nakumbuka niliwahi date na pisi moja kitaa flani enzi hzo niko moshi, Hio pisi ilikua ni kifaa kitaa kizima maana watu walikua wanainyali kuisemesha kama mnavyojua dem akiwa pisi ya maana hata kuisemesha unaona jau.

Basi mdau bila hiana nikajichomoa akili nikasema nae nikajielezeq hisia zangu nilizokuanazo juu ya urembo wake japo kua haikua rahisi lakini nilijikaza kisabuni, dem akachomoa kama mara kadhaa lkni mwishoni akakubali Coz nilipambana sana afu badae dem nae akawa kanipenda kupindukia na nilienjoi sana lakini kasoro aliyokua nayo huyu kigori wangu ilikua ni RAFUDHI

Yani Rafudhi yake ilikua kile kichaga cha ndani ndani kabisa yani akiongea lazma watu waanze kushangaa mpaka nikawa naona jau kutembea nae kwa masela zangu Coz wangekua wanancheka sana, Lakini finally nilizoea tu nikajikubali kwamba ndo hyo Mungu amenipa wacha nilinge nae hvo hvo. Basi nikaanza kutamba kitaa na rafudh yetu [emoji23][emoji23]

Mpaka leo niko nae na nnatarajia kufunga nae Pingu za maisha Coz nimke bora kwangu Mungu kanipatia tunapendana sana RAFUDHI YETU NDO IMEKUA TRADEMARK YA PENZI LETU. [emoji23][emoji23]
Hongera sana
 
Daah kuna luzboll moja niliibabatiza seemu baada ya kama lisaa hivi toka tukutane tukajikuta kwenye 6*6, mtoto hatak kutoa lock mzee na nyege mshndo nilikomaa hivohivo. Duuh kilichofata kinasikitisha...Nilijifunza ukiona mtu anakaza sana usimnganganize.
Ukajichukulia zako UTI safiiii
 
Miaka ya hivi karibuni nakutana na pisi ila hazijasoma sana, kama watatu mfululizo wameishia la darasa la saba sasa dah atleast ht ingekuwa form four, mwingine huyo ndo funga kazi mana ni pisi + singo maza + darasa la saba
 
huyu manzi ni shida tupu yaani yupo vizur idara zote nyeti unazojua..nilikuwa npenda zaidi miguu yke minene km faru joni.kiuno kidogo matiti km hakuwahi kuzaa yalivyo magumu.shida yake mswahili sana na uchafu yaani hafai kila nilijaribu nimuekee sawa nikimuachia geto nakuta kuchafu ye mda wote tv tuu kufua chupi zake wiki hd wiki adi chupi inaekaa gundi katikati
Eeh
 
Ilikuwa pisi ya kuombea hata zamana kwenye kesi kubwa kubwa.. Toto ilikuwa ikicheka inamwanya.. lips denda,umbo namba nane.. nywele nyeusi tii halafu zake mwenyewe sio zile za kununua kwenye misaluni!.. na kale kasauti kake hakika nilidata komamanga la watu!.. ubovu ulikuwa anapandisha majini yanaongea kiarabu! Lamba mwiko wa watu nikaona isiwe tabu nikamuacha japo ilikuwa kwa mbinde maana na yale majini sijui yalinielewa!! Sijui Sana.
Hahaha
 
Mtoto alikuwa mzuri Sanaa sema kuja kutest anabonge la uchi Mimi na utundu wangu nilijiona naelea ingawa nimeisha waliza hata majimama kwa utundu na dick yangu but kwa huyu Pi's nilichemka nilimkunja but naelea tu
Duuh
 
Nilipata pisi Kali ya kinyambo kutoka karagwe, Mtoto alikuwa na rangi nzuri,Nyash nzuri laini na kamwanya flan hivi. Tatizo lilikuwa alijiremba anajipaka poda na lipstick anakuwa kama Ebitoke nilikuwa natamani kumzuia lakini alikuwa anapenda na hataki ushauri nadhani tunawafahamu watu wa ule ukanda ulio karibu na Uganda Wana kaujuaji flan hivi na ubishi basi nikawa namuacha ila naona jau kutoka nae akiwa vile.
 
Back
Top Bottom