Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Dah aicee umeongea pweinti ya maana sana. tena hakuna hata mmoja aliyeigusia humu. watu wapo na mbunye tu na visirani vya mabebi mama wao.

Hii kitu ya mikos mm nimewahi kuisikia kwa jamaa yangu akinishuudia maisha yake mwenyew binafs. Alinambia kuna dem ukiwa naye utaona mambo yanakwendea fresh adi mwenyew utashangaa ila kuna wengine wana mikosi ukiwa naye utashangaa hata km ulikuwa na michongo yako fresh itaanza kugoma mmoja baada ya mwingine na usiposhtuka mapema lazma uokote makopo au utashangaa mambo yako hayaendi tu.

Wale jamaa wa kusoma nyota wanakwambia sio kila mtu ni wa kuoana naye inatakiwa uangalie nyota zenu km zinaendana. km haziendani ndoivo mnaishia kuzalisha familia yenye mikosi.
 
asilimia kubwa watu kuamini mambo ya imani upande mwingine ni ngumu na wanaokazia wasijuie ni wachawi na wanayo yajua humu.
sio kila mtu utakaye kutana naye anaweza kuwa nyota yako kutoka kimaisha,kuanzia rafiki,mpenzi,biashara,makazi,eneo,sanaa na n.k
 

Imani tu hzo mkuu
 
ni kweli kabisa maana haikuishia kwamba ni mimi tu ila hata aliye nitangulia pia aliishia kukwama kabisa mpaka akapotea mtaani kabisa. kweli hii kitu ipo na hata nilipo ongea na watu waliniambia kuna watu mpaka wamepoteza kazi sababu ya mikosi kutoka kwa wanawake wa hivyo..
 
Pole yake
 
Nilipata pisi kali moja jeupe kama RAHA P tatizo kwenye tako moja limechora jina la bwana ake wa zamani so during dog style session nikiona ile TATOO mzuka unakata mpaka dusherere linaishiwa nguvu.
Hahaha
 
Hongera sana
 
Ukajichukulia zako UTI safiiii
 
Miaka ya hivi karibuni nakutana na pisi ila hazijasoma sana, kama watatu mfululizo wameishia la darasa la saba sasa dah atleast ht ingekuwa form four, mwingine huyo ndo funga kazi mana ni pisi + singo maza + darasa la saba
 
Eeh
 
Hahaha
 
Mtoto alikuwa mzuri Sanaa sema kuja kutest anabonge la uchi Mimi na utundu wangu nilijiona naelea ingawa nimeisha waliza hata majimama kwa utundu na dick yangu but kwa huyu Pi's nilichemka nilimkunja but naelea tu
Duuh
 
Nilipata pisi Kali ya kinyambo kutoka karagwe, Mtoto alikuwa na rangi nzuri,Nyash nzuri laini na kamwanya flan hivi. Tatizo lilikuwa alijiremba anajipaka poda na lipstick anakuwa kama Ebitoke nilikuwa natamani kumzuia lakini alikuwa anapenda na hataki ushauri nadhani tunawafahamu watu wa ule ukanda ulio karibu na Uganda Wana kaujuaji flan hivi na ubishi basi nikawa namuacha ila naona jau kutoka nae akiwa vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…