abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
S
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soko lake unalipateje wanao nunua tunawatafuta wapDuh ujipange hiyo biashara sio ya kitoto. Hao kondoo inabidi wawe wamehasiwa ili kuondoa "male odor"/halufu ya kiume/pumbu/korodani ndio wakubaliwe.
Umri na uzito wa kondoo lazima uzingatiwe, vipimo vya magonjwa kabla na baada ya kuchinjwa n.k
Kusema kweli sijawahi ona mtu binafsi ana export nyama nje ila kuna kiwanda cha nyama Kibaha/Soga na Frostan/Mikocheni hawa ndio wana export.Soko lake unalipateje wanao nunua tunawatafuta wap