Ulishawahi jiuliza, hivi huyu ndo angekuwa mke wangu ningeishi nae vipi?

Ulishawahi jiuliza, hivi huyu ndo angekuwa mke wangu ningeishi nae vipi?

Uhuru24

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
4,112
Reaction score
4,361
Katika maisha tunakumbana na mambo mengi sana pasipo kutarajia,nimepata kuona na kusimuliwa baadhi ya mambo ambayo watu wanakutana nayo.

Uisha wahi kuona ama kusikia mtu kaoa harafu kesho kutwa mtu anamuacha na sababu zinabaki kuwa za watu wawili tu??.Yaan kila mkijaribu kutafuta sababu kila mtu anakwepesha.

Wanaume tumeumbiwa tabia ya kutongoza tongoza,sasa kama mwanamke ukimwambafai watu wanapita na wewe wanakula kimasihara.

Kuna siku nimemuona mdada mrembo sana,nikasema ngoja nijaribu kuomba mbususu(kama wazungu wanavyoiita) basi katika purukushani za hapa na pale kwa siku na mawiki kadhaa nikafanikiwa kuinyonyoa.

Mazingira niliyokutana nayo kwa yule bint mwenye miaka 19+ yalinistajabisha sana,yaan yule binti anambunye kubwa mpaka inatisha.

Unapiga hesabu huyu hakuzaa lakini hali ipo hivi,je akizaa itakuwaje???.

"NDIO NAJARIBU KUWAZA"

"Huyu ndio anakuwa mkeo,unaweza kuishi nae vipi???maana siku hizi wengine wanatabia ya kusema tusifanye mpaka tuowane""
 
Yaani suala la kuoa ni pana sana inafaa mtu utulize akili ujiulize kweli huyu ndo chaguo lako hususa me ilinitokea hii yaan nyegr zimenifanya nikae na mwanamke baadae ndo nagundua kuwa ana uwezo mdogo sana afu kila nayemwonyesha picha yake anadai mwanamke anasura ya baba yake ilinisumbua sana kisaikolojia kipindi naendelea kuwaza namna ya kumtema mara mimba accidentally aisee
 
Yaani suala la kuoa ni pana sana inafaa mtu utulize akili ujiulize kweli huyu ndo chaguo lako hususa me ilinitokea hii yaan nyegr zimenifanya nikae na mwanamke baadae ndo nagundua kuwa ana uwezo mdogo sana afu kila nayemwonyesha picha yake anadai mwanamke anasura ya baba yake ilinisumbua sana kisaikolojia kipindi naendelea kuwaza namna ya kumtema mara mimba accidentally aisee
Huwa najitahidi sana nyege zisiniongoze.

Na hii mara nyingi inatokana na ile mmeonana tu na manzi unataka mzigo, na yeye bila hiyana anakugei.

Mkitinduana kwa muda unaona huyu anafaa kisa tu kila ukimhitaji yupo, mkikutana nyie ni kutinduana tu nothing else.

Siku mnakuja ishi pamoja ndo unajua ndoa sio minyanduo pekee kuna mengi.
 
Yaani suala la kuoa ni pana sana inafaa mtu utulize akili ujiulize kweli huyu ndo chaguo lako hususa me ilinitokea hii yaan nyegr zimenifanya nikae na mwanamke baadae ndo nagundua kuwa ana uwezo mdogo sana afu kila nayemwonyesha picha yake anadai mwanamke anasura ya baba yake ilinisumbua sana kisaikolojia kipindi naendelea kuwaza namna ya kumtema mara mimba accidentally aisee
baada ya mimba ikawaje mkuu
 
Wanawake jaribuni kuijituliza,huyu ni mfano tu wa wanawake wanaochezewa kila kukicha,wakidhani kuwa uzuri wa sura na maumbile yao ya nje utawafanya wanaume wawapende na hatimaye kuolewa,mwisho wa siku unaishia kuonjwa na mwanaume,anakuta alichokitarajia hakipo...
 
Yaani suala la kuoa ni pana sana inafaa mtu utulize akili ujiulize kweli huyu ndo chaguo lako hususa me ilinitokea hii yaan nyegr zimenifanya nikae na mwanamke baadae ndo nagundua kuwa ana uwezo mdogo sana afu kila nayemwonyesha picha yake anadai mwanamke anasura ya baba yake ilinisumbua sana kisaikolojia kipindi naendelea kuwaza namna ya kumtema mara mimba accidentally aisee
Hatari sana
 
Wanawake jaribuni kuijituliza,huyu ni mfano tu wa wanawake wanaochezewa kila kukicha,wakidhani kuwa uzuri wa sura na maumbile yao ya nje utawafanya wanaume wawapende na hatimaye kuolewa,mwisho wa siku unaishia kuonjwa na mwanaume anakuta alichokitarajia hakipo...
Sana,ukweli mchungu Mbunye ikitafunwa sana mtihani
 
Tuonyeshe kwanza kiba100 chako ndo tuendelee na mada
 
Yaani suala la kuoa ni pana sana inafaa mtu utulize akili ujiulize kweli huyu ndo chaguo lako hususa me ilinitokea hii yaan nyegr zimenifanya nikae na mwanamke baadae ndo nagundua kuwa ana uwezo mdogo sana afu kila nayemwonyesha picha yake anadai mwanamke anasura ya baba yake ilinisumbua sana kisaikolojia kipindi naendelea kuwaza namna ya kumtema mara mimba accidentally aisee
[emoji23][emoji23][emoji23] upo nae bado au ulipiga chini??
 
Huwa najitahidi sana nyege zisiniongoze.

Na hii mara nyingi inatokana na ile mmeonana tu na manzi unataka mzigo, na yeye bila hiyana anakugei.

Mkitinduana kwa muda unaona huyu anafaa kisa tu kila ukimhitaji yupo, mkikutana nyie ni kutinduana tu nothing else.

Siku mnakuja ishi pamoja ndo unajua ndoa sio minyanduo pekee kuna mengi.
Ii imenikuta na mimba apoapo
 
Back
Top Bottom