Ulishawahi jiuliza, hivi huyu ndo angekuwa mke wangu ningeishi nae vipi?

Ulishawahi jiuliza, hivi huyu ndo angekuwa mke wangu ningeishi nae vipi?

Ndo bado hata miezi miwili haina hilo tukio bado jipya kaka bi mkubwa ana force binti aende home kwetu now yupo kwao
Japo na madhaifu yake na sura ngumu ka baba ake ila Huyo huyo unaemuona ana uwezo mdogo ndo atakuja kukufaa maishan. Kwa utulivu, kukuvumilia kipind cha shida na kukuzalia watoto wazuri
 
Wewe je upo vipi isije kuwa unamsema binti ana ndoo kumbe tatizo lipo kwako unataka kukorogea uma, pic zenu tafadhali.
 
yule binti anambunye kubwa mpaka inatisha.
Manaume mengine yamerogwa tu tumbua kubwa ndo safi hilooooo!! unalitumbua kisawasawa! ingiza kichwa humo! miguuu mikono piga makofi humo furahia maajabu ya uumbaji weye unalia ungekuwa karibi ningekutandika mpaka ukome
 
Kwani kuoa ni lazima?

Tushachokaa kelele na vilio vya wana ndoa, mxxxxieeeew.
 
So uko naye hadi sasa?.
Kwa uzoefu wangu wanawake wenye sura za kawaida ni wife matirio sana na wana mioyo mizuri sana na ni wazazi na walezi bora wa familia.

Hujawahi kudate pisi kali zinavyosumbua?
Yaan mkuu unakuta mwanamke mrembo hasa,lakini haendani na mbususu yake mpaka unasema nimekutana na jini???lakini tafuta mwanamke wa kawaida aisee utapata huduma safi na haikinaishi.


NB:

MWANAMKE MREMBO KWA SHOW OFF TU,LAKINI NI HEKAHEKA UNALICHUKUA
 
Manaume mengine yamerogwa tu tumbua kubwa ndo safi hilooooo!! unalitumbua kisawasawa! ingiza kichwa humo! miguuu mikono piga makofi humo furahia maajabu ya uumbaji weye unalia ungekuwa karibi ningekutandika mpaka ukome
Weeeeee
 
Yaani suala la kuoa ni pana sana inafaa mtu utulize akili ujiulize kweli huyu ndo chaguo lako hususa me ilinitokea hii yaan nyegr zimenifanya nikae na mwanamke baadae ndo nagundua kuwa ana uwezo mdogo sana afu kila nayemwonyesha picha yake anadai mwanamke anasura ya baba yake ilinisumbua sana kisaikolojia kipindi naendelea kuwaza namna ya kumtema mara mimba accidentally aisee
Natamanj kuona mwisho wa hii story

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Yaan mkuu unakuta mwanamke mrembo hasa,lakini haendani na mbususu yake mpaka unasema nimekutana na jini???lakini tafuta mwanamke wa kawaida aisee utapata huduma safi na haikinaishi.


NB:

MWANAMKE MREMBO KWA SHOW OFF TU,LAKINI NI HEKAHEKA UNALICHUKUA
Hahaha kuna ukweli umeusema...acha niishie hapa huwa sio muumini wa kuelezea maumbile ya wanawake public huo naona ni moja udhalilishaji but kuna ukweli ulio dhahiri katika hili
 
So uko naye hadi sasa?.
Kwa uzoefu wangu wanawake wenye sura za kawaida ni wife matirio sana na wana mioyo mizuri sana na ni wazazi na walezi bora wa familia.

Hujawahi kudate pisi kali zinavyosumbua?
Huwahurumii wanao?? Unaanzaje kuzaa na demu sura ngumu huyo mtoto si atakua na sura ya idd amin remmy ongala??
 
Japo na madhaifu yake na sura ngumu ka baba ake ila Huyo huyo unaemuona ana uwezo mdogo ndo atakuja kukufaa maishan. Kwa utulivu, kukuvumilia kipind cha shida na kukuzalia watoto wazuri
Acha kumdanganya mwenzako!! Mke ana sura ya babake atazaaje watoto wazuri??
 
Manaume mengine yamerogwa tu tumbua kubwa ndo safi hilooooo!! unalitumbua kisawasawa! ingiza kichwa humo! miguuu mikono piga makofi humo furahia maajabu ya uumbaji weye unalia ungekuwa karibi ningekutandika mpaka ukome
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
binti anambunye kubwa mpaka inatisha.
Yaani hata mshipa wa aibu huna??? umeamua kuktutangazia JF! kuwa una kibamia?? Wanaume wa siku hizi una nini?? kinacho wasumbua humo vichwani mwenu??

mdada wa miaka 19 bado ni mdogo sana, hata kutoa mimba hana uzoefu nazo! na ni wazi hajatumika sana! haya ngoja nikusaidie ....WAJAMENI WEE NJOONI HUKU MUONE KIBAMIA CHA PRINCE MRISHO ...

Kumbe ndo maana unajina hilo!!
 
Back
Top Bottom