The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
- Thread starter
- #21
karibu mkuu wewe ulipatwa na aibu gani usiyoweza kusahauNimesubscribe huu uzi😂😂😂💥💥💥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibu mkuu wewe ulipatwa na aibu gani usiyoweza kusahauNimesubscribe huu uzi😂😂😂💥💥💥
Tukio gani mkuu, wewe ni ke ? Jamaa alikufanyaje, funguka kuna mengi ya kujifunza kwa matukio yaliyopitanimempa lifit akanipiga tukio.
Mmoja alipiga two mwingine 3 ya 14.hongera boss, kila jambo linamakusudi yake, wale jamaa wa div one wao ilikuwaje walifanikiwa kumantain au walibweteka ?
Upige NINI? Uliibiwa hapo kinachofuata ni ku-bagain tu, wali, Samaki na juice 70,000 ya nyokwe?Roho iliniuma sana ilibidi nipige
tehe tehee mkuu pole kweli haraka haraka haina ....... , mkuu umesoma huku unakimbizwa au, sio malipo YA HOTEL, fuatilia tena kusoma. Malipo 60$ ni malipo YAKE MREMBO mimi sikulipia hotel na ndio maana jina langu halikuwako kwa registry book."wire transfer nikamwambia cash nikampa 60$"
Uongo huu: Hakuna Biashara ya wire transfer kwenye hotel ambayo unatumia huduma mda huo huo, labda credit cars, story nzuri, ila mwongo.
🤣🤣🤣🙌anazungumza Kingereza kibovu kuliko cha Mwendazake
sio malipo YA HOTEL, fuatilia tena kusoma. Malipo 60$ ni malipo YAKE MREMBO mimi sikulipia hotel na ndio maana jina langu halikuwako kwa registry book.
Wanyarwanda watamu sanaJapo kale kadada kalikua ni katamu sijapata kuona nikiri waz
Kunradhi😅Hapo ni sawa, kumrazi
Mkuu wewe tukio gani limewahi kukuletea fedhea usiyoweza kusahauHapo ni sawa, kumrazi
Mkuu acha kabisa, tupe uzoefu wako na hawa mabinamu wa PKWanyarwanda watamu sana
Mkuu wewe tukio gani limewahi kukuletea fedhea usiyoweza kusahau
Kunradhi😅
Tumegee jambo kasimulizi kafupi mkuu kuna mtu atajifunza jambo litakalomuokoa na fedhea. Ulipokosea wewe muepushe mwingine nae asikoseeDah, Mengi aisee, huwa nikiwa mwenyewe nakumbuka najionea haya naanza tukana kwa nguvu: qmmke
Nipo zangu kwenye jet kutokea jomo kenyatta international airport
kama nusu saa angani ivi kojo limenishika
Nimemaliza kukojoa sasa nataka kuflash sion ile batan
mana nishazoea oneway unaona banat fasta unafanya mambo yako.
Sasa kila nikichek batan sion asee nikarudi kukaa kwanza kama afu nasema asee hapa nitaonekana mshamba.
Nikahesabu kama sekunde kadhaa ivi nikarudi tena choon asee batani ilikuwa sehemu ya kiboya sana ila kuminya ni ngumu ile mbaya.
ile jet ilinikata kinoma sisahau hadi kesho.