Ulishawahi kufikwa na aibu usiyoweza kusahau, ilikuaje?

Ulishawahi kufikwa na aibu usiyoweza kusahau, ilikuaje?

Roho iliniuma sana ilibidi nipige
Upige NINI? Uliibiwa hapo kinachofuata ni ku-bagain tu, wali, Samaki na juice 70,000 ya nyokwe?

Nilienda sehemu kushona viatu fundi sikumuuliza Bei akanicheck akashona akamaliza nikamuuliza Bei nyote viwili akanitajia Bei ya ajabu nikashtuka sana akasema wewe ulikosea unapoenda sehemu kabla ya kupata huduma uliza Bei kwanza sio unatumia huduma kisha unauliza Bei maana yake unajiweza unaweza kulipa kiasi chochote cha Pesa utakachotajiwa ndio wanavyofanya kwenye hotel kubwa na NDOGO huna mda wa kuuliza Bei ni kusubiri bill na kulipa tu
 
"wire transfer nikamwambia cash nikampa 60$"

Uongo huu: Hakuna Biashara ya wire transfer kwenye hotel ambayo unatumia huduma mda huo huo, labda credit cars, story nzuri, ila mwongo.
 
"wire transfer nikamwambia cash nikampa 60$"

Uongo huu: Hakuna Biashara ya wire transfer kwenye hotel ambayo unatumia huduma mda huo huo, labda credit cars, story nzuri, ila mwongo.
tehe tehee mkuu pole kweli haraka haraka haina ....... , mkuu umesoma huku unakimbizwa au, sio malipo YA HOTEL, fuatilia tena kusoma. Malipo 60$ ni malipo YAKE MREMBO mimi sikulipia hotel na ndio maana jina langu halikuwako kwa registry book.
 
Mimi nililewa kwenye sherehe. Nilikula koka na konyagi ilikuwa aibu kubwasana. Halafu mfukoni sikuwa na pesa kabisa. Na sikwenda na ndugu. Ila kuna mtu alinilipia boda boda akanipeleka baada ya kunihoji wapi naishi. Ishukuriwe niliweza kuongea.
 
Nipo zangu kwenye jet kutokea jomo kenyatta international airport
kama nusu saa angani ivi kojo limenishika
Nimemaliza kukojoa sasa nataka kuflash sion ile batan
mana nishazoea oneway unaona banat fasta unafanya mambo yako.

Sasa kila nikichek batan sion asee nikarudi kukaa kwanza kama afu nasema asee hapa nitaonekana mshamba.

Nikahesabu kama sekunde kadhaa ivi nikarudi tena choon asee batani ilikuwa sehemu ya kiboya sana ila kuminya ni ngumu ile mbaya.

ile jet ilinikata kinoma sisahau hadi kesho.
 
Dah, Mengi aisee, huwa nikiwa mwenyewe nakumbuka najionea haya naanza tukana kwa nguvu: qmmke
Tumegee jambo kasimulizi kafupi mkuu kuna mtu atajifunza jambo litakalomuokoa na fedhea. Ulipokosea wewe muepushe mwingine nae asikosee
 
Nipo zangu kwenye jet kutokea jomo kenyatta international airport
kama nusu saa angani ivi kojo limenishika
Nimemaliza kukojoa sasa nataka kuflash sion ile batan
mana nishazoea oneway unaona banat fasta unafanya mambo yako.

Sasa kila nikichek batan sion asee nikarudi kukaa kwanza kama afu nasema asee hapa nitaonekana mshamba.

Nikahesabu kama sekunde kadhaa ivi nikarudi tena choon asee batani ilikuwa sehemu ya kiboya sana ila kuminya ni ngumu ile mbaya.

ile jet ilinikata kinoma sisahau hadi kesho.


Hii ni aibu? Kutokujua batan ya ku flash iko wapi?
 
Back
Top Bottom