Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daa mkuu hiyo ni ndogo kuna watu wanahonga mpaka million halafu wanaambulia patupu ,halafu staili ya mademu wa aina hii ukishawatongoza kabla hajatoa jibu utasika ,naomba nikopeshe hela nitakuludishia ,ukimpa tu papachu huli na pesa hulipwi.Nilipigwa 36,000 Tsh na mwisho wa siku hata busu sijapiga, mbaya zaidi mtaani walizusha nimekula ila ukweli naujua mwenyewe
😂😅😂😅😂Nilipigwa 36,000 Tsh na mwisho wa siku hata busu sijapiga, mbaya zaidi mtaani walizusha nimekula ila ukweli naujua mwenyewe
Mkuu thamani ya hela inategemea wakati na uwezo wa mhusika, kipindi na honga hivyo nilikua mwanafunzi so ni bora ningehonga milioni kwa sasa kuliko ile 30+ k , it was a disaster to my financial position at that timeDaa mkuu hiyo ni ndogo kuna watu wanahonga mpaka million halafu wanaambulia patupu ,halafu staili ya mademu wa aina hii ukishawatongoza kabla hajatoa jibu utasika ,naomba nikopeshe hela nitakuludishia ,ukimpa tu papachu huli na pesa hulipwi.
Acha tu ndugu unanunua vyupi vya kutosha full marash alafu anampelekea mwanaume mwenzio kwenda kuzivua kirahis Sana ,yaan madem wa namna hiyo mm naonaga wanakuwaga na mwisho mbaya Sana coz anaruka mkojo na kikanyaga mavi.Mkuu thamani ya hela inategemea wakati na uwezo wa mhusika, kipindi na honga hivyo nilikua mwanafunzi so ni bora ningehonga milioni kwa sasa kuliko ile 30+ k , it was a disaster to my financial position at that time
Af mwamba nilinunua ad furush la chupi daa, najua kuna muhuni alijua anazivua tu
Sasa jesca amekujaje kwenye huu uzi?Jesca popote ulipo hauendi mbinguni ng'oooo
Nishawai tumia 300k+ na sikupata ata busu tu... kuwa mwanaume ni kazi piaNilipigwa 36,000 Tsh na mwisho wa siku hata busu sijapiga, mbaya zaidi mtaani walizusha nimekula ila ukweli naujua mwenyewe
[emoji1787][emoji1787]....... ahsante kwa kunywa k vant yangu na kuingia mitini, jua tu hela ya mwanamke hailiwi.
[emoji15][emoji15][emoji15]Mbona kawaida sana!nilihonga miezi sita na simu nikamnunulia ila hata kiss sikuambulia!kila ukimgusia maswala ya papuchi ananuna anasema nina haraka sana!ilikua kila siku lazima nmnunulie kitimoto,kila wiki kusuka!hapo bado kumtoa out kila weekend na hata kiss sikupata[emoji28][emoji28],
Siku nikakuta message kwenye simu ake "bby una dick kubwa sana hapa k yote inawaka moto!
Hyo ndo siku niliyoamua kuachana naye rasmi
Ndo mwanamke mwenzako alivyonifanya hvyo!ila kanifundisha ktu kikubwa sana maishani![emoji15][emoji15][emoji15]
[emoji1787][emoji1787] dada zako hututumii hata 50 ya Mchele, wewe unahonga tu hukoNdo mwanamke mwenzako alivyonifanya hvyo!ila kanifundisha ktu kikubwa sana maishani!
[emoji28][emoji28][emoji28]acha tu!Ila yule nishamuambia mm ma yeye hatujamalizana atakuja kulipia tu siku moja!mana anajifanya sana mtoto wa mjini![emoji1787][emoji1787] dada zako hututumii hata 50 ya Mchele, wewe unahonga tu huko
Utakuwa kiwanja gani leo nisogee?..tutashare bills na sitokimbia,mimi ni kibenten smart..please give me a favour........ ahsante kwa kunywa k vant yangu na kuingia mitini, jua tu hela ya mwanamke hailiwi.
hahaaa....... ahsante kwa kunywa k vant yangu na kuingia mitini, jua tu hela ya mwanamke hailiwi.
Duuh unamfanyiaje dem mambo yote haya kabla hujampiga nyembeMbona kawaida sana!nilihonga miezi sita na simu nikamnunulia ila hata kiss sikuambulia!kila ukimgusia maswala ya papuchi ananuna anasema nina haraka sana!ilikua kila siku lazima nmnunulie kitimoto,kila wiki kusuka!hapo bado kumtoa out kila weekend na hata kiss sikupata[emoji28][emoji28],
Siku nikakuta message kwenye simu ake "bby una dick kubwa sana hapa k yote inawaka moto!
Hyo ndo siku niliyoamua kuachana naye rasmi