Ulishawahi kukataliwa pamoja na status yako? Ulijisikiaje?

Ulishawahi kukataliwa pamoja na status yako? Ulijisikiaje?

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,071
Reaction score
10,028
Ughonile.,

Kuna ile hali unasema yule mkaka/mdada nikitupia ndoano tu lazima anase lakini mwisho wa siku unapigwa kibuti kimoja saafi unabaki umeduwaa.

Ukijitathmini unaona uko fresh kabisa, uko vizuri kiuchumi, handsome/mrembo, una kausafiri kako, unatokea familia yenye profile kubwa, msomi n.k na mbaya zaidi unakuta mhusika anakua anajua status yako in and out lakini anakuchomolea?

Vipi wewe ishawahi kukutokea? Ulijiskiaje?
 
Ughonile.,

Kuna ile hali unasema yule mkaka/mdada nikigusa tu lazima anase lakini mwisho wa siku unapigwa kibuti unabaki umeduwaa.

Ukijitathmini unaona uko fresh kabisa, uko vizuri kiuchumi, handsome/mrembo, una kausafiri kako, unatokea familia yenye profile kubwa, msomi n.k na mbaya zaidi unakuta mhusika anakua anajua status yako in and out lakini anakuchomolea?

Vipi wewe ishawahi kukutokea? Ulijiskiaje?
Status ina maana kama huyo unayemtongoza anajali hiyo status, kama hajali haina maana.

Unaweza kufikiri wewe ni msomi, una pesa, kumbe mwenzako anakuona mshamba unajivuna kuwa wewe ni msomi una pesa.

Wengine hatutongozi, tunaongoza.
 
Back
Top Bottom