MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Unakuta masela mtaani wanasema yule dada ni maharage ya mbeya, maji mara moja.!! sasa ole wako ujichanganyeHuwa tunaapoza machungu kwa kuwatafuta rafiki zao..
Ni mambo ya kawaida kabisa hayo
sasa utawapataje bila kuwatongozaNdio maana uwa sitongozi ovyo ovyo. Nalinda hii brand.
labda kaambiwa na wenzake kwamba 'mtwangio' wako hautwangi vizuriUnakuta masela mtaani wanasema yule dada ni maharage ya mbeya, maji mara moja.!! sasa ole wako ujichanganye
PointNdio maana uwa sitongozi ovyo ovyo. Nalinda hii brand.
Itakuwa ulijikuta na wewe Mondi bila ya pesa.Nilikuwaga dancer wa Mondi wnzi hizo tunaonekana, watu wanatuzungumzia na akina Iyobo. Nilitupia mistari kwa manzi mmoja kitaa ambaye alikuwa mpaka anadownload video zetu za kudance na akanikazia
Ni mbinu tu mkuu, mwingine anajitazama anajiona kabisa yeye sio level yako anaamua akukate ili alinde moyo wake..maana anajua lazima utakua nao wengi unawapanga tuUnakuta masela mtaani wanasema yule dada ni maharage ya mbeya, maji mara moja.!! sasa ole wako ujichanganye
Unamake sense, i can relateNi mbinu tu mkuu, mwingine anajitazama anajiona kabisa yeye sio level yako anaamua akukate ili alinde moyo wake..maana anajua lazima utakua nao wengi unawapanga tu
Ilinikuta mkuu demu anagawa ubumbu kishenz nikaenda Kuomba oya nilijutaUnakuta masela mtaani wanasema yule dada ni maharage ya mbeya, maji mara moja.!! sasa ole wako ujichanganye
Iyo mentality ndio naongelea apa, unakuta uko very confident kuwa kwa jinsi nilivyo hakuna mdada anaeza nikataa but guess what,, dilemmabinti anakukata vipi labda kama umepoteza fahamu
Kuna mwingine anakuonesha green lights kibao ila siku ukijichanganya kutaka kumuingiza kwenye mfumo anakataa kufit kabisaHi
Ilinikuta mkuu demu anagawa ubumbu kishenz nikaenda Kuomba oya nilijuta
Status ina maana kama huyo unayemtongoza anajali hiyo status, kama hajali haina maana.Ughonile.,
Kuna ile hali unasema yule mkaka/mdada nikigusa tu lazima anase lakini mwisho wa siku unapigwa kibuti unabaki umeduwaa.
Ukijitathmini unaona uko fresh kabisa, uko vizuri kiuchumi, handsome/mrembo, una kausafiri kako, unatokea familia yenye profile kubwa, msomi n.k na mbaya zaidi unakuta mhusika anakua anajua status yako in and out lakini anakuchomolea?
Vipi wewe ishawahi kukutokea? Ulijiskiaje?
Hapo unaniongelea mimi kakaNdio maana uwa sitongozi ovyo ovyo. Nalinda hii brand.