Ulishawahi pitia kipindi kigumu hadi ukashindwa kutoa rambirambi za misiba mfano labda una group kama vile watu mliohitimu nao chuo labda itokee msiba mmoja wenu amefariki, unatolewa mkeka wa waliochanga wote wamechanga kasoro wewe tu
Hadi unapigiwa simu kutafutwa unaogopa kupokea na mbaya zaidi sio kwamba unatoa ulichojaliwa kuna kiwango maalumu. Je, ukipitia hali hii unafanya kitu gani?
Hadi unapigiwa simu kutafutwa unaogopa kupokea na mbaya zaidi sio kwamba unatoa ulichojaliwa kuna kiwango maalumu. Je, ukipitia hali hii unafanya kitu gani?