Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,715
- 8,058
1. Uko unatembea zako au unafanya jogging ukapishana na mtu anafanya mazoezi ila hiyo harufu ya jasho inayotoka unayokutana nayo wakati mnapishana!...sijui kuna ambao hawafui nguo baada ya mazoezi au ni harufu jasho tu!
2. Kuna mtu hamjawasiliana naye kwa miaka mingi.Mara unaona anakupigia video call!...tena anapiga mara nyingi kama vile ni lazima upokee!
3. Mtu mmesoma naye shule ya msingi na mmepotezana kwa kipindi kirefuuuu...mara unaona ujumbe wake anajitambulisha, mnasalimiana na kujuliana hali. Hata siku haijaisha unaona ujumbe "naomba hata ya vocha"!.
4. Mtu kakupigia simu alafu anauliza "Nani mwenzangu?"
Yaaani, embu mdau weka mambo ambayo umekutana nayo yakakukeraaaaaa
2. Kuna mtu hamjawasiliana naye kwa miaka mingi.Mara unaona anakupigia video call!...tena anapiga mara nyingi kama vile ni lazima upokee!
3. Mtu mmesoma naye shule ya msingi na mmepotezana kwa kipindi kirefuuuu...mara unaona ujumbe wake anajitambulisha, mnasalimiana na kujuliana hali. Hata siku haijaisha unaona ujumbe "naomba hata ya vocha"!.
4. Mtu kakupigia simu alafu anauliza "Nani mwenzangu?"
Yaaani, embu mdau weka mambo ambayo umekutana nayo yakakukeraaaaaa