Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikua natoka zangu hostel naenda class nimepiga suruali nyeusi na shati fulani hivi za njano (ya duka), wakati nikiwa njian nikakutana na jamaa kavaa vile vile, nikapuuza baada ya hatua chache nikakutana na watu wengi wakiwa wamevaa vilevile dah nilistuka sana.kumbe walikua wanakwaya aisee na ilikua ni siku ya jumapili. nilikosa amani kutwa nzima. nilivyorudi kitaa(likizo) nikampa dogo na nikaapa kutokuja vaa nguo za duka tena.
Huwa tamu sana hiyo mkuu ila zile unique cars, sio istmimi nikikutaga mtu ana drive gari kama yangu kwasababu ni unique huwa nampiga taa ile ya salam wengi huwa wanaelewa wana reply
Mkuu, sasa kama ni IST si utajikuta unapiga taa ile ya salaam kariakoo nzima kwa maana ni nyingi hatariHuwa tamu sana hiyo mkuu ila zile unique cars, sio ist
Sent from my SM-N910U using JamiiForums mobile app
IST itabidi uweshe full mchana kutwaMkuu, sasa kama ni IST si utajikuta unapiga taa ile ya salaam kariakoo nzima kwa maana ni nyingi hatari
Okay...Kuna jamaa alinipa kaunda suti yake bure anayotokelezea ofisini akasema inambana.
Hua nachukia sana ndomaana napenda kuvaa mtumbaShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Sio kila muda tunapaswa kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB. Leo ngoja tujadili kidogo changamoto za maisha katika jamii tunamoishi.
Eti ndugu zangu Watanzania;
HUMAN BEHAVIORAL PSYCHOLOGY.
============
Ulishawahi kukutana na mtu ghafla (kwenye sherehe, daladala au njiani) aliyevaa nguo zinazofanana na za kwako? How did you react to it? mlipungia mkono, mlipeana tabasamu, mlimfuata kumsalimia au ulikwepesha macho?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
BIASHARA: Ninauza Vitabu Vya Kujifunzia Lugha Ya Kijerumani. Ich komme aus der Stadt Dar Es Salaam und verkaufe diese Deutsch-Lernbücher
hahahahaha...Siku mbili badae nikasikia kwa mshikaji eti jamaa kanipa suti baada ya kuniona eti nimevaa suti kama yake halafu nimekaa chini nasuka mkeka (nabeti).
Mimi haikuwa nguo bali magari..zote zilikuwa
Make: Toyota Cresta
Model: GX 90
Color: Silver
Registration: T800ABJ , T800ADJ
nilikuwa wa kwanza kupaki nikaingia duka la spare...akaja jamaa akapaki sawa sawa na mimi naye akaja dukani
Sikuwa makini kuhusu gari yake hivyo nilipanda yangu na kutaka kuondoka ...ghafla nikamuona jamaa keshajaa mlango wa dereva anapiga kioo..alidhani nimeiba gari yake
Nikapaki nikashuka ..kwa dakika nzima wote tulichanganyikiwa mpaka tulipokuja kuona tofauti ya number
Mpaka rims zilifanana...
Hi ilinitokea pale kituo cha garage External mwaka 2009
Hata mm syo nguo... Ila Nishawahi kubananishwaShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Sio kila muda tunapaswa kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB. Leo ngoja tujadili kidogo changamoto za maisha katika jamii tunamoishi.
Eti ndugu zangu Watanzania;
HUMAN BEHAVIORAL PSYCHOLOGY.
============
Ulishawahi kukutana na mtu ghafla (kwenye sherehe, daladala au njiani) aliyevaa nguo zinazofanana na za kwako? How did you react to it? mlipungia mkono, mlipeana tabasamu, mlimfuata kumsalimia au ulikwepesha macho?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
BIASHARA: Ninauza Vitabu Vya Kujifunzia Lugha Ya Kijerumani. Ich komme aus der Stadt Dar Es Salaam und verkaufe diese Deutsch-Lernbücher
Hii kawaida,hata kama unataka kuingiza gari kwenye foreni wewe ukiona gari model sawa na yako mpige taa...anakupishamimi nikikutaga mtu ana drive gari kama yangu kwasababu ni unique huwa nampiga taa ile ya salam wengi huwa wanaelewa wana reply
Nilipoingia form one nilimkuta mkaka wa form three anafanana na kaka yangu vibaya mno, yaani kila kitu kasoro rangi ye alikuwa maji ya kunde. Yaani kila nikimuona ilikuwa lazima nizubae kumuangalia. Nikajua labda macho yangu siku moja nimeingia staff walimu wakaniuliza J ni kaka yako?? Nikasema hapana. Wakasema kama sio kaka yako ni nani yako? Maana haiwezekani muwe hamhusiani kabisaMimi nilikutana na mtu tunafana sura,urefu ,skin color, hadi jina la mwanzo hadi leo tumekua brothers japo ni koo mbali mbali kabisa
Yaani wanaelewa kuwa ni salamu ya kufanana kwa model ya gari, sijui na rangi (check kwenye red)?mimi nikikutaga mtu ana drive gari kama yangu kwasababu ni unique huwa nampiga taa ile ya salam wengi huwa wanaelewa wana reply
Kwenye red, sio kuwa kipimo kizuri bila kupiga taa?Hii kawaida,hata kama unataka kuingiza gari kwenye foreni wewe ukiona gari model sawa na yako mpige taa...anakupisha