Watu wa vikombe mpo wengi mpaka mnaboa, uzi wa kutoa stress mnalazimisha uwe kama wa uchumi!!

Just google, kegel exercise unabana na kuachia misuli kama unakata mkojo!! Ikiwa ipo winga inakuwa kama unafanyisha push up- inapanda na kushuka!!
Tunachangamsha uzi mzee chai/kahawa vijiweni ni muhumi, basi mkanywe urojo zenji
 
Hahaahaha muone[emoji23][emoji23][emoji23] kwanza
 
Mumejipangaje nataka kumalizia story[emoji23][emoji23]

Tafdahli kwenyee hii part 2 nataka wanywa chai tu nyie wanywa uji hamruhusiwi kuoma [emoji854]

Now niko kazini hii itakuwepo leo saa 4:30 usiku ikifika saa tatu na nusu nione report kuwa mpo tyar

[emoji120][emoji120]
 
Wewe huyo, sasa wivu wa nini hapo mzee mbona una akili ndogo hivyo
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Wewe ni baharia mwandamizi ki bingwa sana, huyo demu lazima akupe manyota sana
 
Story moja, udambwi πŸ’―.

Leteni stori basi πŸ™‚
 
Na ukauzu wote ukapotea, aisehhh na mbunye iheshimiwe
 
Tupo tumekaa kwa pattern tunasubiria kahawa
 
Uni tag binamu, picha la kihindi hilo sio la kukosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…