We



Ulipita jkt ww? Kama ndio, kabla ya mabio ya usiku kabla ya rokoo si mnakalishwa chini? Tena muda mref tu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ouk sawaah, lol wee ni baharia ukawa unpiga mdada wa watu [emoji867] lol.
 
chai pimbi wewe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe ouk sawaah, lol wee ni baharia ukawa unpiga mdada wa watu [emoji867] lol.
Piga Sana madole Atuf...wa watu kutoka njombe.

Kwanza tulikuwa nyomi, ili afande kuona vzr lazima amulike watu usoni (taa ya tulipokuwa tunafolen ilikuwa haitosh/hazitosh kumulika ile nyomi) maana Kuna wakat kuruta walikuwa wana-dodge pale pale wanatokomea kwenye mahanga yaliyokuwa mapya hayajaanza kutumika.


PIGA SANA MADOLE
 
Yaan muda huu imebakia kdogo tuu , Nile tunda kimasihara[emoji2][emoji2][emoji2] , asee wadada
 
Nakumbuka miaka hiyo nipo nafanya harakati za kuripoti chuo baada ya kuhitimu kidato cha sita.Siku hiyo nilikuwa safarini kutokea moja ya wilaya za mkoa wa Morogoro kuelekea yaliko makao makuu ya mkoa .Kama mjuavyo jiografia ya mkoa huo kunauwezekani wa kusafiri kwa masaa zaidi ya 8 ndani ya mkoa.Basi bana picha linaanza nipo zangu ndani ya basi siti za karibu na nyuma kando yangu siti ya upande wa pili baada ya kikorido cha kati kakaa mtoto flani hivi wa kiwakhati [emoji3192] kapigilia mjuba wake maridadi kweli kweli .Mwanzoni mwa safari hatukua na mazungumzo yoyote zaidi ya kuinjoy harufu nzuuri ya marashi kutoka ktk mavaz yake.Kwa muda mrefu mrembo yule alikuwa bze kwa kuongea na simu [emoji338][emoji338] na washikaji ,pia kuchat kama kote.Duuuuuh kimsingi alinivuruga sana kwani kila nikitafuta gia ya kumpigisha story anajibu kwa ufupi then anaendelea na mingo zake [emoji338].Basi bhana tukafika mbuga ya mikumi so ukawa ni mwendo wa kuinjoy wanyama wa pale [emoji3070][emoji208][emoji233][emoji3069][emoji885]kupitia hapo ndipo alianza kuniuliza maswali kuhusiana na sifa na tabia za baadhi ya wanyama ,wakuu kiukweli mm cna udhoefu sanaa na wa wanyama pori so nikatumia mbinu za kivita kujibu maswal yale hapo usiniambie mbinu gani.Kukaibuka mjadala mziitoo kisha stori nyingine nyiiingi zikafuata .Basi bhana wakati tunakaribia stand kuu ya mabasi [emoji590][emoji590] yapale mji kasoro bahari nakumbuka yalikuwa majira ya saa moja kasoro ya usiku nika mtania vp tukalala wote lodge then kesho ukaenda huko kwa sister ako hakunijibu kitu.Pasi na shaka ndinga ikazikamata round about [emoji922]ya pale karibia na na msamvu mara ngoma ndan stand .Mzee baba nikashuka huku nikiwaza namna ya kukata tiket kwajil ya safar ya kuelekea jiji la miamba siku iliyo fuata.Basi bhana kwa time hiyo sikuwa na wazo lolote kuhusu yule ndada wa kwenye basi [emoji3192],nikaenda kwenye moja ya ofisi za kukatia tiketi ya kampuni ya mabasi niliyo penda kusafiria kwa safari za kwenda kanda ya ziwa,wakati nipo katika msululu wakuingia ndani ya ofis ile [emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321][emoji1321]kutazama pemben namuona yule mrembo wa kwenye basi moyo ukalipuka paaaaaaa!!!!! Kwamshituko nikamuuliza vp hakujibu kitu zaidi ya kutabasam huku akiinama chini .Basi bhana nikakata tiket nikatoka nje ya ofisi nikamkuta kasimama palepale ,nika mwambia kwa ujasili sasa twenzetu tukapumnzike?mtoto akaunga msafara haoo mpaka lodge moja pale karibu na stand chap nikachukua chumba na dhana kama boksi mbili.Tuliingia chumban mtoto kaingia kuoga katoka na moko khanga huku ikiwa imeshikana na mwili kutokana na majimaji aiseeee asikuambie mtu .Nikajikaza na mm nikaenda kuoga kilichofuata Duuuuuh sikikumbukagi sana zaidi ya kesho yake kunusurika kuachwa na basi .Duuuuuh mrembo yule hata namba hatukupeana ila popote alipo akachukue Pepsi ya bariiid kwa mangi kisha nitamlipia.
 
Mzee pengine hata jina hukutaka kulijua
 
Nikiwa chuo mwaka wa pili! Nilikua naenda bagamoyo kwa mshkaji kufuatilia ishu flani. Nikapanda kibasi jioni na kwenye siti nikakaa na mdada, nikamsalimia akaitikia then akachukua earphones zake akaweka masikioni, akafumba macho na kutulia tuli. Nikawa namcheki tu, alikua na sura flani tamu tamu. Bahat mbaya gar ikazingua njian so tuliingia bagamoyo usiku kwenye mida ya saa 3 hivi! Nikashuka na kuanza kuondoka, mara nasikia kaka samahan, nikageuka nakuta ni yule dada. Nikamuuliza vipi kuna shida? Akaniomba kama mimi ni mwenyeji nimsaidie kumuonyesha hotel nzuri yeye ni mgeni na hana mwenyeji, kaenda pale kwaajili ya kutalii tu. Nikamwambia freshi, hao tukaanza kutembea. Tulizunguka karibu hotel 3 zote zimejaa. Basi nikamcheki jamaa ili anielekeze hotel nyingine, akanielekeza. Sasa tukakosea njia bwana, tukapita sehem kumbe kuna mbwa wengi wanabweka balaa na wakawa wanatufuata kwa nyuma. Aisee yuke manzi alinirukia na kunikumbatia kwa nguvu huku anapiga yowe. Nilipata msisiko balaa hata mbwa sikuwajali. Nikamshika vizuri nikamwambia asijali, akawa anatetemeka tu. Bahat nzuri kuna mlinzi akatokea akawafukuza wale mbwa na kutuonyesha mahali pa kupita. Tukafika hotel tukapata chumba. Basi nikawa namuaga kwamba naondoka, akanimbia anaogopa kulala kwasababu bado anahisi wale mbwa wapo karibu yake. Akaomba nikae nae kwa muda kidogo ili hofu imtoke na kama vipi atanilipia chumba nilale palepale. Basi tukazama room, tukaanza story za hapa na pale. Nikapata wazo la kumshtua kuhusu mbwa, aisee alinirukia tena na kunikumbatia kwa nguvu huku akihema na akasema tafadhali usiondoke sitalala. Kimasihara tu, nikaanza kumchokoza anarespond, mwisho nikala mzigo safi kabisa mpaka asubuh! Na nilikaa nae huko bagamoyo siku 3 nakula tu mzigo ( japo ilinigharimu maana nilikosa test ya flani, ikawa msala)
 
Hii limao n tangawise limezidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…