mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Mkuu soweto zipo vema SanaKwa navyoifahamu moshi hakuna lodge nzuri kivile, nilishawahi tembelea moshi nikashukia lodge fulani hivi nilijutia kinoma, ukinimbia hotel sawa, hiyo ya majengo itakua ya kawaida, sijui kwanini wachaga wanashindwa kuwekeza vizuri kwenye vilodge na kuvipa hadhi nzuri,
Afadhal ulijijuaNilikuwa mzito sana,enzi hzo kwenye Haya mambo
Zipo mkuu sema si unajua mji wa kiutalii huu kaka,,guest nzuri utaambiwa 60k,alaf uchumi wetu wa kati huu.Kwa navyoifahamu moshi hakuna lodge nzuri kivile, nilishawahi tembelea moshi nikashukia lodge fulani hivi nilijutia kinoma, ukinimbia hotel sawa, hiyo ya majengo itakua ya kawaida, sijui kwanini wachaga wanashindwa kuwekeza vizuri kwenye vilodge na kuvipa hadhi nzuri,
muhudumu wa bar..unalipia siku yake kazini..basi imekwisha hiyoooo...mlolongo wako mrefu mnooo mkuu.KIMASIHARA WAKATI WA MVUA
Nipo na jamaa yangu tumepanga gheto mitaa fulani mizuri ndani ya kisongo,
Kisongo Kuna tope na vumbi lakini mitaa ile ilikuwa imemwagwa kokoto toka kwenye lami mpaka gheto.
kuna sheli pale opposite na hema la Namibii Geodavie,nyuma ya hiyo sheli Kuna baa tulikuwa tunapenda sana kwenda kucheki mpira na kula mbuzi na kunywa vinywaji vikali.
kulikuwa na mhudumu mmoja mzuri,jamaa yangu alitokea kumwelewa sana,akachukua namba na wiki end moja akamkaribisha ghetto na kweli demu akaja jmosi alkuwa off.
Alivyofika gheto alitukuta wote tupo Mimi na jamaa yangu,tukaandaa msosi tukala tukapiga Piga story pale,Mara jamaa akaanza kunisifia kwa yule demu,mi sikuwa muongeaji sana nilikuwa nachangia Mara moja kwenye story,kasifia sana na kuniforce niongee ongee,nikawa sirespond sana alivyokuwa anataka,demu alkuwa anacheka tu,Mara akaanza kunitumia text kuwa mwana tongoza demu huyo,Mara mi natoka niwaache,nilijikausha hata nilikuwa sijibu text zake maana niliona demu anaweza kutuhis tunachat kumsema, hivyo tungeonekana maboya.
Baadae demu akaaga tukamsindikiza,ile tupo njiani nikaanza kumsaminisha demu nikaona miguu ipo mizuri tu,na mtako Ulikuwa poa tu ingawaje sio Mkubwa sana ila kalikuwa kamtako kazuri tu,kifua fresh tena vichuchu Dede,afu demu alkuwa mtulivu polen fulani.
Siku moja naingia hapo baa,nikamuona ila nikakausha kama sijamuona,kulikuwa na mpira,halftime nikatoka demu akaniona akaniita,tukaongea kdogo kujuliana hali,akaniambia siku akipata muda angekuja tena,nikaachana nae.
Wkend nyingine nipo gheto,akaja huyo demu,jamaa yangu hakuwepo,nilikuwa nampango wa kula chakula simple ugali na yai la kukaanga,ikabidi nibadili.
Napenda kula chakula kitamu,ingawaje sijuagi kutengeneza chakula kizuri,
Kwahyo nilivyoona Kuna Mtoto wa kike,ikabid tutoke tukahemee,mazaga zaga ya maana.
Tumerudi gheto,Mtoto akakorofisha bonge moja la msosi,muda wa kuandaa msosi ndo nilianza kuwaza kumpiga mzigo,maana zile inama inuka Mara kukunja nguo wakati wa kupika,zikanivutia mwanaume, na msosi wake ulivyokuwa mtamu ndo akili ikavurugika kabisa,Mtoto kamaliza kula,akaomba akaoge.
wakati yupo bafuni nikaanza kujipanga namna ambavyo nitampanga anipe mzigo.
Amerudi nikasita kumwambia,mpaka akataka kuaga kuondoka.
Kilichonisaidia ni kimvua kilianza kunyesha,ikabidi atulie akisubiri,hapo nikajikaza,nikamsifia kidogo nikamweleza toka siku ya kwanza anakuja geto vitu vizuri nilivyoviona toka kwake,nikamsogelea na kuanza kumshika shika mkono,Mara kichwa,Mara miguu Mara tumbo,busu nyingi nyingi.
Nikamuomba twende room, anaenda kama mgonjwa vile.
Tukajitupa kitandani,nikavuta blanket langu zito la mtumba,tukajifunika,na kutoa nguo zote,Mtoto wa moto moto.
nikaanza kula mzigo ndani ya blanket huo utamu wake hata angekuja jiwe kunipa uwaziri nisingetoka,na kile kibaridi ndo kilinogesha kabisa utamu wa tendo,ila sikuuza mechi.Nilimpiga viwili lakini ile mechi haitasahaulika.
Penzi lilinoga mpaka akaacha kazi,akaja gheto,akawa kama mke kwa miezi 8,baadae nikawa nimerudi mwanza.
Tunawasiliana mpaka Leo ingawaje ameshaolewa,yupo domu.
Hii masihara mpaka Leo huwa naivutia hisia nikiwa na kwea mnazi kwa mkono mmoja.
mkuu kwa lodge za hapo moshi sijui sana ila kuna hotel moja inaitwa zebra iko mbele kidogo ya stand pale ina hadhiKwa navyoifahamu moshi hakuna lodge nzuri kivile, nilishawahi tembelea moshi nikashukia lodge fulani hivi nilijutia kinoma, ukinimbia hotel sawa, hiyo ya majengo itakua ya kawaida, sijui kwanini wachaga wanashindwa kuwekeza vizuri kwenye vilodge na kuvipa hadhi nzuri,
😂nimekusamehe
Nimekusoma mkuu, nikirudi tena moshi nitafanya kutembelea, mkoa mdogo sana uleZipo mkuu sema si unajua mji wa kiutalii huu kaka,,guest nzuri utaambiwa 60k,alaf uchumi wetu wa kati huu.
Hotel nakubaliana na wewe, ila lodge zipo chache za kuhesabu kabisamkuu kwa lodge za hapo moshi sijui sana ila kuna hotel moja inaitwa zebra iko mbele kidogo ya stand pale ina hadhi
Nilichogundua wanaume wengi wanaliwa kimasihara then wanakimbilia hapa kujaza uzi sasa ww umeitwa unafunguliwa picha za X bado tu hujajua dhamira yake nn unakuja andika uzi umekula tunda kkmasihara???? Ila big up mkuu kwa kula tundaWadau yaani kusema ule ukweli mimi hazinaga idadi, yaani mpaka leo naona sasa hii ni kawaida, hivi karbuni nimemchakaza na kumlamba Boss wangu jamani Khaa! tena ofisini!! kiutani utani tu!!
Aliniita pembeni akasema natakukuokuonyesha kitu lkn usiseme!!! nika mjibu sisemi bana kwani mie mtoto? Basi mdau nakwambia nilionyeshwa mapicha ya x km zote yaani! kiroho kika[piga pwaaa!! nikameza mafunda ya Mate kwa nguvu zote! na mengine yanatokea mdomoni yaani nilimshangaza!!!
nikashusha mkono ziwani, eee bwana weee! sikuchelewa nikamchakata pale pale hizi ofisi zina mambo sana! ila raha jamani nilikula kwa yule Mama! nitake nini mie!!! napewa! safari sasa! usiombe! ile nyumba yangu ya Salasala ni hela ya Boss! nilipanda madaraja mpaka nikachoka!
jamani ukipendwa usijilingishe! piga mashine mpaka uone mtetemo flani hivi wanawake rijali wanao sana. mara zote akitetema hakuachi
Kila kisa kinachowekwa wananzengo wanakimbilia kusema ni chai. Naona wapishi wa hizo chai nao wamechoka sasa [emoji16][emoji16][emoji16]Uzi umepoa
WelcomeNimekusoma mkuu, nikirudi tena moshi nitafanya kutembelea, mkoa mdogo sana ule
Tatzo kila mtu anasifia mzigo ulikua mkali mnooo.....Kila kisa kinachowekwa wananzengo wanakimbilia kusema ni chai. Naona wapishi wa hizo chai nao wamechoka sasa [emoji16][emoji16][emoji16]
Jamaa kaja na longolongo kibao,hahahahamuhudumu wa bar..unalipia siku yake kazini..basi imekwisha hiyoooo...mlolongo wako mrefu mnooo mkuu.
Mkuu una story nyingi[emoji23][emoji23], wewe unaweza ukawa umekula kimasihara mara nyingi kuliko hata ile ya maridhianoMWALIMU AKAANDAA KULIWA KIMASIHARA
Tupo mwisho mwisho kumaliza form 4,jamaa yangu mmoja akaniomba tuwe tunasomea kwao kama discussion.
Lakini tulikuwa tunasoma madarasa tofauti,yeye art Mimi sayansi,nikamwambia hiyo discussion Mimi haitanisaidia sana maana Mimi ni sayansi,akanishawishi sana kuwa nikawape hata kampani ndo akaniambia pale kwao Kuna walimu wawili wamepanga wanampango wa kufanya mtihani kama private candidates, kwahiyo wamemuomba atafute watu WA kudiscuss nao walau wachache.
Siku ya kwanza nikaenda tukapiga ktabu fresh tu na siku ya pili yake,tulikuwa watano jumla,walimu wa kike wawili,Mimi,jamaa yangu na jamaa mwingine ambae tulkuwa tunasoma shule moja.
Siku ya tatu nakumbuka ilikuwa ijumaa mwalimu mmoja wa kike hakuwepo na jamaa ambae tulikuwa tunasoma nae shule nae hakutokea siku hiyo,ikabid tupige ktabu watatu hakikunoga sana,saa tano tu tuko hoi.
Jamaa yangu akajikusanya fasta akaingia zake kulala,Mimi wakati najikusanya ticha akaniambia kuliko kuondoka usiku huo ni heri nilale humo kwao,akasema eti tutalala mzungu wa nne,
Afu siku zingine nilikuwa narudi nyumbani ingawaje palikuwa mbali,ila siku hiyo jamaa alikuwa kaniandalia chumba kwenye nyumba ya nje,yeye alkuwa analala nyumba kubwa.
Nikaamua nmkubalie ticha,nikalala akazima taa,akavua nguo na kujifunga khanga nae akalala,wakati huo nimejibana kabisa ukutani.
Picha linaanza ticha ananiambia usingizi haupati,akaniomba nimhadithie au nimuimbie nyimbo/hadithi nzuri itakayomfanya apate usingizi.
Nikachagua kuhadithia,nikaanza kuhadithia,dakika chache ticha ananiambia anisikii vizuri,hivyo inabidi nigeukie kule aliko lala yeye.
Kijana mpole wa watu nikafanya kama alivyohitaji ticha,nikaendelea kuhadithia,hadithi ilivyoisha akaniomba niwe na mbembeleza like watoto ambavyo hufanywa ili wapate usingizi,hapo nikaanza Kujua ticha anataka nini,nikafanya kama alivyotaka,sasa akawa anaupeleka mkono wangu umguse maeneo mbalimbali ya mwili wake,Mara akageuka akanipiga mate Yale ya kung'ang'ania kama anataka kula meno na ulimi wangu,akajitoa kanga haraka haraka kama kahisi kanga ina mende,akaanza kunivua na Mimi nkampa ushirikiano.
Enzi hzo nilikuwa sijabobea sana kwenye mambo hayo,ticha akaniweka chini yeye juu,anajipump kwa nguvu mpaka nikaanza kuwaza kuambukizwa ngoma,haikuchukua dakika nyingi wazungu hao,ila mashine haikulala,tukaingia style yetu pendwa ya wana ndoa in and out nyingi sana na utelezi wa kutosha kama wote.
Kesho yake nikaambiwa niwahi kwenda nisile nyumbani,nkakuta bonge la msosi ila yule mwenzie alkuwepo,tukala pamoja,sikuwah kupewa tena kibuyu asali,niliishia hyo moja tu.
Domo zege weweUnaonekana ulikuwa boya, demu mpaka anaomba kuoga alikuwa amejipanga kuliwa.. halafu hii sio kimasihara