Kwahiyo ulimpi
kwahiyo ulimpiga deki kabla hata hajaoga? uliuza mechi baharia?
 
Aroo
 
Khumbu kawa wa kumsaka kwa manati,ngoja turudi kwenye Uzi wetu pendwa.

Nipo zangu arusha,maisha yakazingua balaa,nikawaza kujiua,kwetu ni mwanza.
Ili nisiwape shida ndugu zangu kusafirisha maiti,ikabidi nifunge safari kwenda mwanza afu nilale gest pasipo kufika nyumbani,nitafute pori ninywe sumu nilale,ndo nilikuwa nimepanga hvyo.

Asubuhi nkatoka gest,nikaenda maduka ya dawa za mifugo,nikanunua dawa ya kuonyea mifugo kichupa kidogo mils 50,nikapita duka jingine nikanunua maji nusu lita,nikapita tena kwenye kimgahawa nikanywa chai ya jero,nikatembea kutoka nje ya mji kutafuta pori zuri ambalo sitaonekana nikifanya yangu.Hapo ni wilayani(sitapataja)

Nikapata sehemu iliyotulia,nikachanganya ile dawa(sumu) na maji,ikawa kama maziwa,nilipata shida kuanza kuinywa ila baada ya dakika kadhaa nikajikaza nikainywa yote,nikalala,ilikuwa ijumaa,nimekuja kushituka ilikuwa ni asubuhi kama saa moja nilikuja kugundua baadae kuwa ilikuwa ni jumapili,nahisi njaa sana,hata kutembea siwezi,napepesuka tu kila nikijaribu kutembea,midomo inamagamba,nikajitahid kujivuta vuta toka mule kichakani kwa kutambaa,nikafika sehemu ya wazi nikamuona mama mmoja nikaanza kumuita kwa ishara ya mikono hata hakuja,aliondoka.

Baada ya muda naona watu wengi wanakuja nilipo,waliponifikia wakaanza kunihoji,nimechoka mbaya hata kuongea siwezi,wakanikokota mpaka kwa mwenyekiti,watu wakazidi kuwa wengi,Kumbe yule mama kanishitaki Mimi kama mwinzi wa mihogo,kwahyo anachotaka nichapwe na alipwe,kwanza wakati huo sikumbuki hata hapo nipo wapi,wakaanza kunihoji,nikaficha nikawaeleza kuwa mi nmepotea nimejkuta tu huko porini sijui nilifikaje,mwenyekiti alinitetea sana,mwisho wakaamua wanipeleke polisi na tupite radio ya jamii ili nitangazwe ndugu zangu waje kunichukua.

Zikatafutwa boda boda,safari ikaanza ,tumefika kwenye kituo cha redio wakahitaji hela ya tangazo kwanza,mwenyekiti akakosa,baadae tukatoka nje ili twende polisi,pale nje tulikaa sana,watu wakaanza kuwa wananishangaa pale na mwenyekiti akawa anawaeleza maswahibu yangu,wengine wakawa wananiuliza nyumbani niwapi nikawa nataja ila hakuna anaejua,nikawaekeza mama yangu ni mwalimu anafundsha shule Fulani, wakawatafuta walimu pale,wengine wakaanza kupiga simu,mpaka wakafanikiwa kumpata mama.

Kwenye lile jengo la redio Kuna bank ilikuwa imepanga pia hapo,sasa wakati nipo hapo watu wananiuliza uliza,akatokea binti mmoja mzuri balaa Toto la kisingida kutoka kwenye ile bank alkuwa kaajiriwa pale bank,

Na Yale matatizo yangu,lakini nilivyomuona binti huyo nilijisemea kimya kimya "hili Toto ni zuri hatariii".
Demu akasogea tulipokuwa,akaniangalia kisha akaniuliza kama nimeshakula,nikasema bado,akaagiza chakula cha 1500,nikaanza kula pale kiaina.

Sikumaliza chakula,Mara mama akatokea,akanichukua,Kumbe walkuwa wanafahamiana na mama,maana mama ni mtu wa vikundi kwahiyo wanaaccount kwenye bank hiyo pia huchukua mikopo hapo .

Nikapelekwa hospital, baada ya siku 3 nikaruhusiwa.
Siku moja demu akaja nitembelea nyumbani,akaja na jamaa mmoja n mtangazaji wa redio pale barobaro sana huyo jamaa,
Baadae wakaondoka tukawasindikiza,waliniletea mapocho pocho mengi sana kama vile Mimi ni manzi,

Baadae demu alipata namba yangu akaanza kuwa ananipigia simu kunijulia hali,
Siku moja kaka ake ni mwanajeshi aliwatembelea,demu akamshahuri mama nikaombewe na kaka yake huyo,jamaa n mwanajeshi lakini n mlokole.
Tukaenda na maza mpaka kwao demu,familia ya watu wachache tu,misosi kama kawaida,baadae nikasalishwa sala ya toba.

Ikawa sasa Mara nyingi mama ananiletea habari za kusalimiwa na huyo demu,na siku moja akaniahidi atanitembelea.
Kwel bhana,one day Mtoto huyu hapa katokelezea kinyama,afu nyumbani nipo mwenyew tu.
Akanisifia kuwa mwili umerudi,Kumbe Mimi ni mzuri(handsome).
Ikafika muda anataka tuselfie,Mara tukizaa Mtoto atakuwa mzuri sana,hapa sasa ndo nilipata shoti ilinipga mwili mpaka ubongo,tatizo nimechoka kuandika.
Kifupi nilkula mzigo tena kwa kuuza mechi.
Penzi lilikuwa tamu sana,kifupi binti anasema alkuwa na kazi lakini alkuwa hajayafurahia maisha.

Kumbe alikuwa na certificate baadae akaamua kwenda kusoma diploma penzi likafifia,Mimi siwezagi kulea penzi la mbunye ilioko mbali kwa kutumia simu.
 
God loves you Son.
 
yani kimasiara zote zinazodai et walipima ngoma kwanza m naona ni chai tuu, maana kiuhalisia uku mtaani watu ni wagumu sana kupima ngoma asa ndo mtu hakujui humjui akubali umpime ngoma...[emoji32][emoji32]
kwa uzoefu wangu wamnawake wengi wako tayari na hawana uoga linapokuja suala la kupima mziki uko kwa mwanaume ko sishangai watu kupima wakiwa gheto.

nimewahi mpima demu anatokea UG shule tena bila kuleta mgomo na ni mara ya kwanza na ya mwisho kuonana ko usishangae sana mkuu
 
Hapo kwenye radio nina hakika ni Radio Sengerema na kuna benki ya Posta
 
nikanunua dawa ya kuonyea mifugo kichupa kidogo mils 50,nikapita duka jingine nikanunua maji nusu lita,nikapita tena kwenye kimgahawa nikanywa chai ya jero,nikatembea kutoka nje ya mji kutafuta pori zuri ambalo sitaonekana nikifanya yangu

Lengo la kunywa chai wakati unaenda kujiua muda huo huo lilikua nini mkuu? Au ndio hukutaka kuondoka ulimwenguni ukiwa na njaa[emoji28][emoji28][emoji23]
 
Lengo la kunywa chai wakati unaenda kujiua muda huo huo lilikua nini mkuu? Au ndio hukutaka kuondoka ulimwenguni ukiwa na njaa[emoji28][emoji28][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alitaka akifika mbinguni apewe hesabu zake sio mambo ya chai tena
 
Unatakaje kujiua unaacha vitu vizuri duniani, nini hasa kilikukuta
 
Unataka kujiondoa duniani uache mbususu za kila aina
 
Kama mwaka juzi hivi nilipogiwa simu na jamaa yangu tumejuana kwenye masanga kuwa shemeji yako Yuko hapa kwangu kwa hiyo nakuomba uje na pkpk yako umchukue umpeleke kwao. Ilikiwa Kama saa mbili usiku nikamfuata binti simfaham in maana alikuwa anatoka kuliwa baada ya kufika maeneo ya kwao nikampeleka bar tukapata biambili nikampiga sound ya kumduu nikampeleka mahala nikamduu.kimoko tokea hapo hatujawahi kuwasiliana Tena,
Nyingine Kuna mother nilikuwa namheshim Sana afu kaenda mbele Kama nchi kumi hiv na nimsaharabu majiz nashangaa tumekunywa wine ananambia nikambadilishie taa ndan kwake ebanae nikajilia kilain Sana mpka leo ananiita Tena na jamaa yake ni mzungu da dhambi hizi
 

Siku ya Birthday yangu ukafanya uzinzi!!? 😀😀😀 Kanuni moja wapo ya gheto ni kuwa na shuka nyingi maana kufua ni majaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…