Kujifanya unajua kila kitu ni mbaya sana mbele ya wasomi..!! Jamaa kateleza achana nae hajui lolote kuhusu hayo ya kibenk
 
Naona mumefulia soon naleta new story...itakuwa moto sio ya kukosa itwasomwa usiku tu...kama hauna mke andaa vitendea kazi maan haita muacha mtu salama

[emoji73]
Wewe ungekuwa hapa mby ningekutafta nikule kimashala hahaaa
 
Mkuu usihagaike kuwaaminisha watu. Cha msingi sisi tumeamini, na ni kweli mliman city bank wanachelewa kufunga, na bado bank zipo wazi hadi j2. So we endelea kutupa story nyingine. Hii tumeipenda kwa ujasiri wako, na mbinu zako.

Eti umemsalimia " shikamoo" [emoji1787]
 

kula tano mwanangu mtu anakaa huko ndani ndani anadhan mambo yatafanana na kati kati ya mji ? awe anauliza kwanza, kula [emoji1534] mwanangu
 
We mzee Kama ndio michezo yako kula viboga vya watu just hauko salama hata wewe kitaliwa kwa kisasa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…