Anajiongelea tu huyo

TUKIO LA 1: Kuna jamaa hakuamini, alishangaa tu watu hawa hapa ndani ya chumba chake, hotel ilikuwa ni ya kifahari, kilichomuokoa ni ukubwa wa dirisha, aliruka urefu wa ghorofa 2 akavunjika mguu na mkono.

Alikuwa anatembea na mke wa mtu. Inaonekana mke alibanwa akatoa ushirikiano kisha watu wa fumanizi wakafanya namna wakapewa ushirikiano na management ya hotel, haijulikani ni nn walifanya au walitoa hadi kupewa huo ushirikiano.

Hizi hotel mara nyingi huwa ni soundproof hivyo wangefunga milango na madirisha pengine jamaa yangemkuta mabaya sana.

TUKIO LA 2: Arusha, Huyu mwamba walifanikiwa kumwingilia. Inasemekana Mke alidakwa na sms, mume alikiwa anajiweza kifedha, mke akapewa maelekezo asifanye lolote aendelee na mahusiano mpaka pale atakapopewa maelekezo. Baada ya miezi kupita huku mke akiliwa kama kawaida ila mawasiliano yake yote na taarifa zake zote mume akizipata hatimaye siku ya maelekezo ikawadia, akaambiwa amshawishi jamaa waende nje ya mji, hotel nzuri tu. Jamaa hakutia shaka akaenda, kumbe ni mtego, alipoingia ndani wakati wanaendelea jamaa akashangaa wanaume hawa hapa, wakamwingilia kwa zamu huku mke wa mtu akishuhudia. Jamaa baada ya tukio alitafuta mtu wa saikoloji, akamtrain. Alirudi mtaani na mpaka sasa anaendelea kuchakata wake za watu mara dufu zaidi ya mwanzo. Ameshindikana.

Fumanizi ni mtego. Tena wakati mwingine mwanamke anafahamu kila kinachoendelea maana Mume alishamshika panaposhikika.

Kama una rafiki yako mpelelezi wa polisi muombe data ya matukio ya kinyama yaliyowahi kufanyika kwenye mahoteli makubwa ya kifumanizi. Wana data nyingi sana.

Kutembea na Mke wa mtu halafu ukawekewa mtego kuchomoka hakuna ukomandoo. Labda bahati.
 
Huo mlango wanaingiaje na umelokiwa? Huoni uzembe hapo? Ukiingia na mke wa mtu usifungue hata aje nani na kuvunja hawawezi? Pili usipende kutuma meseji kwa mke wa mtu piga simu tu. Usiwe unaenda hoteli moja kila siku.
 
Huo mlango wanaingiaje na umelokiwa? Huoni uzembe hapo? Ukiingia na mke wa mtu usifungue hata aje nani na kuvunja hawawezi? Pili usipende kutuma meseji kwa mke wa mtu piga simu tu. Usiwe unaenda hoteli moja kila siku.
Mbona hotel nyingi huwa na funguo mbadala au E-cards za kufungulia mlango za reserve.

Kunaswa bila kutegemea ndo maana ya mtego uliotegewa. Watu wanakusukia ramani taratibu mpaka unanasa.

Kuna mitego ambayo inashirikisha mpaka wenye hoteli, wanalipwa kutengeneza hayo mazingira ya ww kufumaniwa, kiasi kwamba ukinasa unajikuta kwenye hali ambayo hukutegemea kabisa, na kwasababu ni jinai basi tukio linafanywa chap chap ndani ya 15 to 20 minutes unaachwa ukiwa si yule uliyeingia.

Inategemeana unatembea na mke wa nani na ana nguvu gani na amepania kiasi gani kukushikisha adabu.

Watu wenye hasira na wake zao wanawalipa hata polisi pesa za kutosha ili tu utengenezewe mazingira unase.

Mtu anauza nyumba ili tu apate pesa ya kulipa watu watakaofanikisha kukutega na kukukamata ww unayemla mke wake mpaka kasahau watoto na majukumu yake ya familia.

Kuna watu wana uchungu na hasira sana wakigongewa.
 
Mkuu ulitakiwa upate muda mzuri Wa kukafinyanga. Yaani mpaka nmetamani

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakosaje sasa mkuu tulikutana kwenye harusi ya mmoja wa ndugu zao nlikainamisha parking mzigo , nlifungua mlango wa gari akaegemea kiti mimi nikapitisha na kusugua msasa. haka sio ka kukesha nako mzee msala nje nje. Kama kawa nlikuta kana ngenye kama zote Yani nikizamisha na kutoa anaiskilizia utamu wa kila inch [emoji482].
 

Me ni baharia ila wewe nimekuvulia kofia, kul a [emoji1534][emoji1534]
 
Unajua hawa madogo humu hawajawahi kukutana na mtiti nawaangalia tu wanavyojitutumua kwenye batani za simu kwa kujifanya wajanja Mara wananguvu Mara wana mbinu kuliko wengne ila wanasahau kuwa hata anayekuja kufumania anatambua kuwa anaweza kukutana na upinzani Wa aina yoyote ile kwahyo hata yeye lazma ajizatiti.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]
 
Wanafikiri kabla ya fumanizi kuna barua ya maombi unatumiwa.
 

Ukiwa umefunga mlango usichomoe funguo kwani ufunguo mwingine hauwezi kufungua. Kama mlangi unatumia kadi huwa kuna lock ya mnyoroto kwa ndani ukilock hawawezi kufungua. Ukiwa na mke wa mtu ndani azime simu usikubali simu yake iwe on. Kama hutumii hoteli moja kila siku ni vigumu wao kushawisbi mwenye hoteli au mhudumu.

Hata kama wamevamia hoteli, usipifungua huku ukifanya jitihada za kuwapigia watu wako ambao nao watahonga polisi toka sehemu yeyote nao watatinga hapo na kukuta zogo nje lakini watu hawajaingia ndani. Kumbuka ni jinai kujichukulia sheria mkononi. Mwisho hata wakifanikiwa (japo kwangu haiwezekani) ukikomaa utawafunga wote miaka thelathini au maisha kuanzia huyo mume na aliowakodi kisha utaendelea kuinjoi na mkewe.
Mke wa mtu haitakiwi utanue naye , mnakutana mahali kisha kila mtu anasepa zake.
 

Lakin si kila anaefumaniwa anashindwa yeye wengine huwa wanajiandaa pia , mkeo akipigwa na Namba 1 utaenda kumfumania ushinde wewe ?
 
Sawa mtaalam. Kila la heri.
 
Kuhusu mlango, kuna vitasa ni two way hata usipochomoa funguo unaweza fungua tu labda kama kuna komeo la ndani linaweza saidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…