Mkuu tulivyoachana pale kama saa nne usiku hivi alinitumia SMS vipi baby umefika salama .nikamwambia usinitumie sms mpaka nikuanze maana mke wangu huwa anashika simu yangu.Hahaa bia tano ndan ya nusu saa halaf mwanamke, kwel huyo alikuwa na stress.
Kibaya zaidi ulimuona pisi balaa, ulivyomla na kumshusha hata msg zake unaziona kero na vile unajua ana mjusi tumbon[emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tulivyoachana pale kama saa nne usiku hivi alinitumia SMS vipi baby umefika salama .nikamwambia usinitumie sms mpaka nikuanze maana mke wangu huwa anashika simu yangu.
Ndio imetoka hiyo.
basi kama ni hivyo NMB waongezewe ULINZI
sana kaka, hawaishiwi shida yani mtu aliezingua jana tu unakuta leo anakuuliza upo wapi, nashida hahahahaNdio ndiooo mkuuuu
Hiyo Age, wanatageti sana PESA.
nitamlima risasi....anyway mbinu yako imeniweka busy sana week hili, shukrani nitaleta ushuhuda humu ndani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo kondom zinakauka mafuta zinakuwa hazitelezi hivyo radha inakosekana.Kondom
Kondom
Kondom
Kondom
Kondom
Nmesema nini?????
Kapime afya kwanzaWazee nimeuza mechi leo ila show nimepiga yakibabeee
Apa ni text zinatiririka mara mme wangu, baby n.k
Stay tuned........
Ni dhambi kubwa kula wake za watu, nakuona unalipa promo sana juu ya wake za watu unahamisisha dhambi, vitabu vya dini vimekusihi ndoa na iheshimiwe na kila mtu, sasa mkuu wewe kila ukipost ni wake za watu msitafute mikosi isiyo na ulazimaUnapomwomba namba mke wa mtu
Hakikisha unachomekea hii sentensi (NI LAZIMA)
[emoji117]embu tubadilishane namba za simu, ila tafadhali sana sana ,usithubutu kunitafuta Mumeo akiwepo ,unitafute ukiwa uko free maana mimi mwenyewe sina mpango wa kukutafuta kila ikifika saa 12 jion,labda itokee umenianza wewe ,hii ni sababu nataka mambo yetu yafanyike kwa uzuri huku nikiendelea kukulinda wewe na kuhesh ndoa yako.
Chomekea hilo maana Utanishukuru Baadae... Kwasababu haina haja ya kutongoza, Wee utamuuliza tu nilin anamuda utafute room
Kuna wanaokuunga mkono lakini sio sawa kujimwambafai kuwala wake za watu hiyo siyo sifa unavuruga familia za watu, na tangu umekuja hizi kauli mbiu zako juu ya wake za watu unanitoa kwenye mstari sana kusoma post zako, badilika kama wengine hawatakuambia mimi nitakuambia hakuna sifa ya kula mke wa mtuUnapomwomba namba mke wa mtu
Hakikisha unachomekea hii sentensi (NI LAZIMA)
[emoji117]embu tubadilishane namba za simu, ila tafadhali sana sana ,usithubutu kunitafuta Mumeo akiwepo ,unitafute ukiwa uko free maana mimi mwenyewe sina mpango wa kukutafuta kila ikifika saa 12 jion,labda itokee umenianza wewe ,hii ni sababu nataka mambo yetu yafanyike kwa uzuri huku nikiendelea kukulinda wewe na kuhesh ndoa yako.
Chomekea hilo maana Utanishukuru Baadae... Kwasababu haina haja ya kutongoza, Wee utamuuliza tu nilin anamuda utafute room
Mkuu wewe hiyo dhana umeitoa wapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi nakusihi tu ukishajua tu huyu ni mke wa mtu ba wanapenda kutokana na mwanamke anavyosema achana nao, tafuta digidigi nyingine zitakufaa mbona vitoto vipo vingi tu mtaani na vitamu balaa,Mkuu, tatizo waume zao wanakula mademu zetu
Sasa itakuaje??
Hahaha Mpaka waache kula madem zetu, waache nawao kutoka nje ya ndoa zao.
Lkn hiii ya Kua nahasira kwa mkeo usichapiwe, ili hali wee unachapa
Haipo hiyo.
Hapo utakua umefanya la maana mkuu achana na hawa wake za watu, kuna wanaume wanajali sana ndoa zao wanahudumia sana ndoa zao wanawapa wake zao kila kitu na bado anaenda mbali anahudumia mpaka familia ya mke wake, anasomesha shemiji chuo nk yani mzee baba halafu leo mtu unakuja sikia mkeo analiwa kimasihara na kichalii tu ndiyo maana watu wanaua kwa kuwa na jaziba, ndoa ni taasisi na watu wanaoingia wana commitment kubwa ehh halafu unakuja kijana unamla mke wa mtu kimasihara kweli hebu pata pichaNmekusoma mkuu... Semea wake za watu niwaache
Nijikite na madada 30+ ambao hawajaolewa au singo mama.
Hizi digidigi ,mara ya mwisho kuzichapa ilikua 2018 .
Ila nataka nitafute kisuuuuuu kikali nioe ,nilee wanangu
demu sio mke, demu Ni chawote.Mkuu, tatizo waume zao wanakula mademu zetu
Sasa itakuaje??
Kaka Ice hivi mke wa mtu kabisa anaanzaje kutongozwa akakubali,mi nasema mwanamke aliyeolewa then mzinzi Huyo ni kahaba classic na yeye ndo hajielewi.Ni dhambi kubwa kula wake za watu, nakuona unalipa promo sana juu ya wake za watu unahamisisha dhambi, vitabu vya dini vimekusihi ndoa na iheshimiwe na kila mtu, sasa mkuu wewe kila ukipost ni wake za watu msitafute mikosi isiyo na ulazima
Huyo mwanamke nae anakubali kutongozwa,katoa namba ya simu,mpk kuingia gesti,mke wa MTU...nnao marafiki zangu wameolewa na wanachepuka haswaa MTU kapewa Harrier lakini analiwa daahh!mpk aibu!unamuonea huruma mmewe mpk baasi!na ktk wanawake wazinzi kwa sasa wake za watu wanaongoza pia!mi najiitia upunguani unless labda mmewe awe amemtelekeza au may be yuko na matatizo may be kifungo n.k lakini uko nae ndani bado wazini!BA's mwanamke ni Malaya nasema tena Malaya!hakuna excuse ya mke wa mtu kuziniwaHapo utakua umefanya la maana mkuu achana na hawa wake za watu, kuna wanaume wanajali sana ndoa zao wanahudumia sana ndoa zao wanawapa wake zao kila kitu na bado anaenda mbali anahudumia mpaka familia ya mke wake, anasomesha shemiji chuo nk yani mzee baba halafu leo mtu unakuja sikia mkeo analiwa kimasihara na kichalii tu ndiyo maana watu wanaua kwa kuwa na jaziba, ndoa ni taasisi na watu wanaoingia wana commitment kubwa ehh halafu unakuja kijana unamla mke wa mtu kimasihara kweli hebu pata picha
Unachosema ni sawa kumbuka watu hatufanani kitabia nk, na pia tabia za mtu ni kutokana na makuzi aliyopitia, sikatai kuna wake za watu wana mienendo mibovu lakini haifanyi wake wote wawe hivyo, pia mke wa mtu kutongozwa na kukubali haimfanyi aonekane ni malaya au vipi, kuna wanaume wana ushawishi mke anaweza anguka kwa ushawishi, all in all nachokazia sana hapa tuheshimu ndoa za watu haijalishi mwanamke ni marahisi au anajirahisisha sana kwa wanaume au vipi sisi ni nani kuyapinga maandiko tumeambiwa ndoa na iheshimiwe na kila mtuKaka Ice hivi mke wa mtu kabisa anaanzaje kutongozwa akakubali,mi nasema mwanamke aliyeolewa then mzinzi Huyo ni kahaba classic na yeye ndo hajielewi.
Kuna mume wa watu na mke wa MTU!!!
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Haya ni majanga ila pia la kuongezea mke wa mtu kuwa wa hovyo inategemea na kundi analokua nalo mara nyingi yani wale mashoga zake, sasa ukichagua mashoga wa hovyo nawe unakua wa hovyo sasa tazama kundi ulilopo Raynavero na ujitafakari, kuna baadhi ya hoja nyingine nimezijibu kwenye post ya juu,Huyo mwanamke nae anakubali kutongozwa,katoa namba ya simu,mpk kuingia gesti,mke wa MTU...nnao marafiki zangu wameolewa na wanachepuka haswaa MTU kapewa Harrier lakini analiwa daahh!mpk aibu!unamuonea huruma mmewe mpk baasi!na ktk wanawake wazinzi kwa sasa wake za watu wanaongoza pia!mi najiitia upunguani unless labda mmewe awe amemtelekeza au may yuko na matatizo may kifungo n.k lakini uko nae ndani bado wazini!BA's mwanamke ni Malaya nasema tena Malaya!hakuna excuse ya mke wa mtu kuziniwa
Kama umeolewa na Huchepuki...Huyo mwanamke nae anakubali kutongozwa,katoa namba ya simu,mpk kuingia gesti,mke wa MTU...nnao marafiki zangu wameolewa na wanachepuka haswaa MTU kapewa Harrier lakini analiwa daahh!mpk aibu!unamuonea huruma mmewe mpk baasi!na ktk wanawake wazinzi kwa sasa wake za watu wanaongoza pia!mi najiitia upunguani unless labda mmewe awe amemtelekeza au may yuko na matatizo may kifungo n.k lakini uko nae ndani bado wazini!BA's mwanamke ni Malaya nasema tena Malaya!hakuna excuse ya mke wa mtu kuziniwa
Tatizo liko wapi jamani? Kwani kambaka huyo nke ya mutu? Ile ni starehe bwana wacha tuenjoy maana mbususu wanatoa wao wenyewe bila kulazimishwaKuna wanaokuunga mkono lakini sio sawa kujimwambafai kuwala wake za watu hiyo siyo sifa unavuruga familia za watu, na tangu umekuja hizi kauli mbiu zako juu ya wake za watu unanitoa kwenye mstari sana kusoma post zako, badilika kama wengine hawatakuambia mimi nitakuambia hakuna sifa ya kula mke wa mtu