Mshukuru msukuma kuja na vyupi visivyokupendezea machoni pako!
 
mkuu wewe ni mzinzi nakutuku cheo cha usajenti kuanzia leo
 
Uliposema quππ@ nyeusi ya kikerewe nimekusoma vilivyo, maana hao wanajamii baadhi yao wana ngozi nyeusi tiii nyororoooo nzuriiii yenye mvuto wa aina yake halafu wa moto hatari ,yani unakuta ana quππ@ nyeusi hadi ukiipekenyua kwa ndani kule ni giza totoro kama lile lililozungumziwa kwenye kitabu cha hadithi alikisoma-ga kijana wangu miaka ile yupo shule ya msingi
 
Uliendelea kuchakata au uliishia hapo?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa umeniua
 
aise nimecheka sana
 
Dah haya mambo ya kimasihara bana[emoji1]
Acha niandike japo sio fundi wa uandishi mniwie radhi..

Nipo kwenye group Moja la timu yetu flani huko Ulaya..tukawa kipindi cha kwanza tushakula goli mbili,watu wanalaumu kinoma mie na jamaa mmoja peke yetu tunatoa comment za kuwa na imani tunarudi fresh second half..

Mara naona comment ya mdada tena kani quote "yani wee jamaa unapenda kusifia ujinga! Uoni kama timu leo inacheza hovyo!"...nikaona isiwe case acha nikamjibu inbox "sorry dada dah nimeumia kuona mtoto mzuri kama wewe unani krashi tena mbele za pipo kibao"

Nikaona kasoma but hajajibu kitu.

Mechi ikaisha tumepigwa kweli bomba mbili nikazama zangu kulala,kesho naamka nakutana na meseji "ukome kushabikia ujinga ujinga,ila pole na ki emoji cha kucheka"

Nikamjibu pole na wewe maan tumefungwa wote,dk kadhaa naona jibu asante lakin siku yangu imeharibika kinoma,nikamjibu usijali kwani upo wapi au unaishi wapi nikutoe out walau tukafresh mind?.. (kumbuka tumekutan kwenye group hatujawah kuonana),..mara nikajibiwa nipo Dar wewe je? Nikamjibu nipo Dar pia lakin upo maeneo gani? Akajibu Mbezi Kimara.

Basi mtoto akakubali offer yangu mzee nikawasha kiji IST changu mpaka kimara stendi nafika sioni mtu,nikatuma text mbona nipo hapa stendi sikuoni?.. akaniambia wewe uko wapi? Maan lazima mie nianze kukuona ili nikuamin kama ni mtu salama kwangu..nikamjibu hapa kituon kuna IST nyeusi imepaki..akasema geuka kulia kwko kuna kibanda cha wakala..aseew ile kugeuka sikuamin nilicho kiona bonge moja la toto mpaka nikajiuliza kawezaje kufuatilia mpira na kuwa shabiki vile kwa muonekano huu?

Basi mzee nikamchukua mtoto mpaka msasani viwanja vyangu flani tukapiga storii kibao na full kuku choma na juisi maana wote tulikuwa hatutumii pombe..Mida ya saa kumi na mbili jioni mtoto anadai kwenda kwao..kidume nikamwambia leo kuna watani wetu wanacheza zamu yao kuwacheka so bora tubaki tucheki game kabisa then tusepe ..mtoto akakubali maan anapenda mpira balaa...nikamwambia lazima tutafute sehemu tulivu tucheki kwa kutulia,mzee nikatafuta bonge la lodge fasta nikalipia nikarudi kumchukua pale tukaelekea huko...

Asee aliliwa mtu hata manyoya hayakubaki.

After 5 hrs
Naona sms tu "Wewe hiyo nanii umechanjia nini? Mmh mara yangu ya kwanza naona ukubwa huo,Afu nani kakufundisha kupiga deki vile jamani mie leo nitakuota asee,ila umenila kijinga sana leo[emoji3][emoji3]"

THE END.
 
"Asee aliliwa mtu hata manyoya hayakubaki." nimecheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…