Naona mme wa mtu analalama.... Baharia carlos utatuua kwa presha. Mke wangu Mimi ni nesi ana anauza duka la dawa. Sasa sielewi kabsa.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hehehehehehe.... Hahahahaha ... Kwaio kaja na mumewe Ili uwanyinye wote matraaakoooll????? Fala Sana wee jamaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

eti nguchiro [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
nakazia wakuu hili ni la maana, kwa nini mke
 

Sms kwa mke wa mtu ni hatari sana, jamaa yake anaweza kushika simu ya mkewe ukakamatwa kirahisi
 
Ulitumia ndom???
 
Mtakula mpaka mavi yalosalia salia humo, mapenzi ya hivi ni uchafu mtupu.

Mwanaume amemuoa miaka nenda rudi unajua kwann hajafanya yote hayo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
huu uzi wa kipumbavu sana jana umenifanya kumkasirisha bosi maana katwanga simu mara 17 mi sipokei kumbe line nimeweka kwenye modem naperuzi watu wanavyo tia magovinda kimasihara

ila nikacheka zaidi baada ya kukuta mwanzisha uzi yuko kwenye uzi wa magonjwa anatoa matibabu kwa wahitaji nilicheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…