[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amezidi uzuri bhna daah yaan uzuri wake unafuta kasoro zake, rafiki yangu dogo G tumeshibana tunakula sahani moja mkuu ondoa ukakasi.
Mbona unajibu kwa multiple ID Mkuu,Mr Increase na Boss from Street?
 
Ila kiukweli mwenyezi Mungu anatulinda, kuna pahala unapita halafu unakuta ukipima ni safe unainama unalia kwa uchungu unasema naacha uchangudoa kuanzia leo, ukipita mda umesahau unaendelea kutembeza rungu tuu, *****
Noma sana mkuu kuna demu mmoja nilikuwa niperform nae masihara haya haya.

Basi nikamuweka qibla kabisa na siku ya mgegedo ikafika nikamwibukia gheto kwake akakataa kata kata hata niingie ndani kwake.

Baada ya miezi kadhaa yule demu akafa bwana na alikuwa nalo yani nililia kwa uchungu sana nikachinja na mbuzi
 
Ss si umuoe mbona unatushushua
 
Duuh!!
 
Mshukuru Mungu, alikuokoa na kifo bro
 
Ila kiukweli mwenyezi Mungu anatulinda, kuna pahala unapita halafu unakuta ukipima ni safe unainama unalia kwa uchungu unasema naacha uchangudoa kuanzia leo, ukipita mda umesahau unaendelea kutembeza rungu tuu, *****
Spoken like a true baharia.
 
Mshukuru sana na muombee Mungu yaani, kakukinga na maambukizi ingekuwa mwingine anakupa mpaka mpalange akuue, mamamamae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…