hivi kuna wanajeshi walifariki??
 
Kalikua bikra?,maana mtoto wa darasa la sita ni mdogo mno
 
Kuna vitu vingine bana, rudi tu facebook.... Ushanipotezea dakika 2
 
Ungese wa kutaka marafiki wawe na mazoea na demu wako sijawahi kuuelewa. Yaani mimi nimhimize mwana akamsalimie demu wangu! Anyways nishakula videmu vya washkaji labda ndio maana niko makini na hili. Urafiki ni mimi na wewe, kaa mbali na shemeji yako
 
Ungese wa kutaka marafiki wawe na mazoea na demu wako sijawahi kuuelewa. Yaani mimi nimhimize mwana akamsalimie demu wangu! Anyways nishakula videmu vya washkaji labda ndio maana niko makini na hili. Urafiki ni mimi na wewe, kaa mbali na shemeji yako

Watu huwa haajifunzi kabisa,

ipo hivi ushkaji ni mimi na wewe na sio wewe na mtu wangu

sitakagi mawasiliano wala mazoea ya aina yeyote ile
 
za kutunga mkuu hadithi hizi wewe soma basi ukichunguza zenye ukweli ni 1/10
 
za kutunga mkuu hadithi hizi wewe soma basi ukichunguza zenye ukweli ni 1/10


'Teaching is my Ministry;
Jesus is my Model;
Transformed lives are my Products;
And heaven is my Goal;
Rise Up and Shine Jesus is coming


Kwa siganature hii??!!πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘† halafu upo kwenye hii thread? na kukomenti juu?

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Jesus needs to come now now
 
inabidi watu uawaelewe ili uawasaidie, maana ukijificha chumbani na hujui nini wsanafanya utawambia nini? ila ki ujumla nilicgigundua NI KUWA wengi ni hadithi ingawa sasa tamaa huzaa dhambi! kwa mawazo haya wengi waweza kuamini kujikuta wakiangamia!
 
Reactions: Cyb
Ulikula jini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndo nini sasa
 
Kwaiyo Mkuu Ungemambiwa Askari Yupo Ungelala mbele..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…