Daaah [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Mfuko kama ndomu ??[emoji15]

[emoji28][emoji28]
 
Mwanza wameridhika na maji yake .
 
Mbona kama wasimuliaji wameisha zamani uzi tulikuwa unatembea hatari ukikosa kuupitia siku 1 tu unaukuta uko page 10 mbele yako
Lakini sasa siku 4 page 1
Mwezi wa ramadhani huu
 
Sema siku hizi,naona hamna kutongozana sana

Yaan ukimgusia tu. Yeye anakuambia una shi ngapi?? Nahili ni kwa wote wote yaan wake za watu na ambao hawajaolewa ..wote ni wamoja tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Haahaha ni kisanga mwendo wa pesa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…