gud tu mkuu, naona umenyoosha viungo kwa shemeji[emoji23][emoji23][emoji23]
Vizuri sana kama ni gud mkuu

Haha...shemudarling nimemchakata mno halafu wakati napiga t..ako eti akaanza kusema kula kidogo bakizia na kaka yako(jamaa ananizidi umri)

Aiseeeee!!nimeunga bamzi mbili nzito na tamu sana(hope litakuwa zoezi endelevu maana yaliyomo yamo)
 
Achana nae mzee kitakukuta kitu hutokaa usahau..za mwizi ni 40
 
CIPRO au DOX na METRO) mkuu ufafanuzi zaidi hapo
 
Wajeda njoeni huku,mke wenu anataka afukuliwe Kila atapohitaji
 
MSIFIEE SIFIEEEEE SIFIEEEEEEEEEEE
MWONGELESHEAUJINGAA UJINGAAA
Nyongeza hii
👉 INGIA TOKA INGIA TOKA,YANI KAMA UNAPIGA UNAACHA....
👉KAMA HUNA MPANGO NAE KABISA KUMBE AKIJICHANGANYA TU AMELIWA.. location ikiruhusu unapiga siku iyo iyo
 
Hahahahahahahahaaaaaa

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Mimi mbona ni KAUZU + INTROVERT na bado nawala kwa wingi tu

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hizi mambo still sio safe kihivyo, Yaan uwepo wa msg, muda na mtandao kwa wafanyakazi wa huo mtandao tayari hapo kila kitu kiko wazi.
 
Hizi mbinu na kwenye kazi na biashara mnazo Kama hizi

Naona watu Ni mnaonesha maexpertise

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Wewe Ni Messi wa ngono[emoji1]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…