Wewe ulikula cha nguvu wewe🙌🙌🙌
 
Me nashauli tu,
Izi charting zenu ungekaa nazo tu.

Hakuna cha maana kuzianika hapa jukwaani,

nimesema_tu
Waliotuma charting wapo wengi sasa mbona unanishobokea?

Hili siyo jukwaa la siasa wewe haupendi hizo charting ukifika kwenye thread yenye charting ruka nenda next page

Waachie wengine wanapenda hizo charting wasome

We bado Hauna mke sasa unaogopa Nini?
 
Watu mna hasira[emoji28][emoji28]
Sijui ndo ugumu wa life![emoji848]
 
Usimuliwaji mbovu kuwahi kutokea hapa jf.

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Reactions: y-n
@richie ze best: kama una details za mwanamke mgumu ambae aliki Sana dondosha details zake dm

Hakuna mkate mgumu mbele ya chai

Kila mtu ana msimamo na wapo wengi tu tatizo ni wamiliki wao haswa sekta ya kuzinguana, kupotea amani ndani ya nyumba, la mwisho na la muhimu PESA.

Sio kua najisifu bali nimekula warembo wenye heshima zao na ndoa zao mpaka leo zimesimama ila kutokana na moja za dosari tajwa hapo juu.

Mwanamke mpweke ni rahisi sana kumegwa lakini pia awe na shida na pesa ni changamoto,
akapata penye msaada unakatikiwa kuzidi wa mwenye mali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…