Wadau.
Nipo safari natoka Mkoa X naenda Mkoa Y. Ndio nimepanda gari nimekaa na kisu hatari. Bahati nzuri tunaenda sehemu moja. Nitaleta mrejesho baadae.
Usikute mnashuka jamaa ake anakuja kumpokea ndo utaelewa
 
Nawe kuna sehemu unalegea yaani una mtoto wa miaka kumi na tatu ila mambo yako ni kama ya mtu anayebalehe,hyo dogo naye kakuona ni mbwiga tu yaani anatuma mpaka marafiki zako yaani utasema umeanza jana kutongozana
 
Usikute mnashuka jamaa ake anakuja kumpokea ndo utaelewa
[emoji3][emoji3][emoji3]
Mpaka sasa tupo na 40% ya safari. Mambo yanaenda vizuri mpaka sasa ni 50 50. Uelekeo sio mbaya kwakuwa baharia nimepata starting point.
 
Ilibaki kidogo tu ungeungwa kwenye grid ya taifa
 
Kondomu zinanipa muwasho...

Kondom zinafanya tumbo linauma

Kondomu zina mafuta.meeengi


Demu akikuambia hayooo...mchomekee..kupima


Akikupiga kalenda.


TEMANA NAYE.
 
Mkuu ulijitahd sana ndo maana wanasema za kuambiwa changanya na za kwakwo,kiufupi hizi story za kimasihara na jinsi wanavyosimulia bila shaka wengi wameukwaa UKIMWI
Ukimwi kupata ningumu sana ila ukiufuata pale ukipotulia nakuanza kuugasigasi na ulimi wako nao unareact[emoji3][emoji3]
 
Kondomu zinanipa muwasho...

Kondom zinafanya tumbo linauma

Kondomu zina mafuta.meeengi


Demu akikuambia hayooo...mchomekee..kupima


Akikupiga kalenda.


TEMANA NAYE.
Daktari hapo umeongea fact (sijui ilikua kwenye kamati ya vovid)

Je kunaukweli wowote juu ya hizo allergies tajwa za condom kwa dada zetu?

Au nitrick tu ya kavukavu maana huyo aliniambia huwazinamuachia mwasho lkn hakuna hata siku aliyosema ebu ngj nijikune nawashwa na mafuta ya kondomu!
 
Badly enough I don't have to prove anything to anyone. I do it when I want too and not under someone's influence
Unachekesha na kuhuzunisha Kwa pamoja

Yaani not under someone's influence hivi unazijua kweli mbol...o wewe

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…