rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Kwani unapoingia kwenye mahusiano na mwanamke huwa kuna makubaliano kwamba utakuwa unampa hela? Kama jibu Ni hapana Basi jamaa alikuwa sahihi kugharamia bila kukubalianaHapo ndipo mnapokwama kabisa..
Mtu hujamtongoza, hakuna makubaliano yoyote ya kwamba mnaenda kunyanduana ww kwa kiherehere chako na udomo zege wa kukariri mambo unaanza kutoa hela kumpa mwanamke na unaanza kumnunulia vitu ovyo mbaya zaidi hajakuomba unategemea atakupa tu papuchi..
Acheni kuishi kwa kukariri, kama ulimpata mwajuma kwa staili hyo usitegemee kumpata mwanaisha kwa njia hyohyo. Muwe mnasoma alama za nyakati
Ndio maana wanafurahia kifo cha rais wenu kipenzi cha maskini mzee magufuliWatu wana roho mbaya chief.
Zilezile za shule ya msingi...Hizo all preventive measure ni zipi mkuu,,,,????
Sura mzuri , mweupe avarage body pia ananyoa nyele fupifupi...usipanic lkn kwakuwa ulitumia kombatiO
Yaani mm mwenyewe niko chunya huku ndio mishe zangu zipo na wiki iliyopita nimewala mademu kama wa tatu tofauti sema nilitumia ndomu na wiki hii na appointment mbili tofauti sijui itakuwaje
1. Ni kweli alitoa mwenyewe na hili sio kosa;Hata mi nashangaa. Sikumuomba chochote alitoa kwa kupenda mwenyewe.
Mahakama ya mabaharia itakuhukumu kwa kuzingatia sheria ya maka jana kifungu cha 8 (a) kwa kosa la kuuza ramani feki kwa baharia mwenye namba zausajiri 0003Mwaka jana tu nilikuwa naenda mkoa flani sikuwahi kufika kule. Pembeni yangu nilikaa na kaka akaniambia ni mwenyeji kule ninapoenda. Tukawa tunapiga story za hapa na pale tukazoeana. Njia nzima tukawa tukishuka kupata chakula analipia yeye, safari ilikuwa ndefu sana. Basi kufika njiani bus lilipata shida ikasababisha tufike tunakoenda saa4 usiku.
Yule kaka aliniambia ana familia akaenilekeza lodge ili nikalale pale kesho asubuh nielekee ofisi nilokuwa naenda. Akachukua no ya simu. Ila akasema tukifika atapeleka mzigo kwake then atakuja pale lodge ahakikishe kama nimefika salama, nikasema poa. Akanipa hela ya room.
Tukashuka akachukua boda fasta akasepa. Nami nikachukua boda ghafla nkawaza huyu kaka nikikaa vibaya atakuja kunila kimasihara. Basi nkamwambia boda nipeleke lodge nzuri nikalale. Boda akanipeleka lodge nyingine kabisa kufika nikaona jina sio lile alonielekeza yule kaka. Nkasema poa!!!! Nikachukua room.
Baada ya dk 20 yule kaka kapiga simu nipo nje upo room no ngapi? nkamwambia no.... akasema poa nakuja...nikazima simu nikalala. Asubuh kuwasha simu ziliingia text kama 10 za matusi mfululizo, sikumjubu wala!!!!!! daaah wanaume nyie basi tu.
Una mguu wa bia. Hongera sanaNitawapa mrejesho
View attachment 1793041
Kilo ishirini hivi imeganda huko nyuma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Limaza lina MAVIIII?
Lilikuwa na MAVIIII kilo ngapi?
Ukiona viingereza vingi atakuwa wa humu JF na ndomaana story haiendeleiStory ndefu mkuu... Ila inshort sista alikua mgeni mjini mishale Kama sa kumi hivi inaenda kumi namoja Kuna abiria namshusha airport pale Dom achkue flight
ile nimemaliza kulipia kule risiti ya parking niazama kwenye chuma piga stata gia namba Mona mdgo mdgo nakunja Kona pale nielekee getini nisepe zangu gafla napigwa mkono na bidada kwenye ile reception nje pale nikala kamba huku mouoni nasema yes indeed irudi napiga hela hapa....
Bidada kanichangamkia oh sikutegemea Kama ntakutana na Bajaj hapa na tax nshachoka Sana I want to see the city na Bajaj ndo natainjoy zaidi... Nilivoona ung'eng'e mwingi mzee nikiaona sio kesi ngoja na mm nikumbushie na changu Cha kuombea mma....
Nikamjibu dn worry madam am at ur service uko kwenye mikono salama... Akajibu okay twende nimefanya booking Elodge unapajua ? Nikamjibu chap tu hakuna sehemu nisiyoijua Dom hichi ni Kijiji changu japo kwemu ndo jiji akacheka pale bas mzee baba nikang'oa nanga...
Haooo chako n chako mara mataa cbe shabiby nikala Kona chaduru hi hapa nikala Kona tukacha ndani Elodge... Nikashusha begi pale akaniambia niskilizie kdgo tu najimwagia fasta nikatafte coffee niangalie jiji la dodoma... Nikamwambia POA nakuskilizia....
Dk Kama 15 Dada katoka kaiva kinoma Yani kabadilika mno Mana mwanzo alikua amekaa kicorporate corporate flani hivi Yani amedress to show power not to kill.... But this time katoka akiwa kavaa kukaribisha flani ivi Yani nikazuga nimemsahau pale nikamsifia sifia nn na kumwbia wagogo leo hawochomoki kwa pigo hizo...
Oya ngoja ning'ate kichwa kwanza ntarudi kumaliziq
Umewaza sana we falakwani unapoingia kwenye mahusiano na mwanamke huwa kuna makubaliano kwamba utakuwa unampa hela? Kama jibu Ni hapana Basi jamaa alikuwa sahihi kugharamia bila kukubaliana
Mkuu Annny unaonaje ukija PM tuandae script yetu ya kimasihara?Wadada tunaaibishwa jamani, kweli kuna kimasihara?
laaan hizi *****[emoji16][emoji16][emoji16]Kwa minajili ya kuweka sawa CV yako, hupaswi kukimbia demu hata aweje!! Mradi kajileta piga mzigo mengine yatafuata!!
NB: Mademu wa hivyo wamejaaliwa uchi mtamu balaa!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kondomu situmiagi, na alivokua bado binti acha tu sijui malaika walitoka wapi kunisimamia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una mguu wa bia. Hongera sana
Safi sana mzee Niko na mdogo wake huyo kvant hapa nammalizia taratibu Mana hili winta la ddom sio poaNitawapa mrejesho
View attachment 1793041
Umecheza kama maradona chief.... Made wengi wanasoma huu Uzi kimya kimya.... Namantain privacy ya mtejaUkiona viingereza vingi atakuwa wa humu JF na ndomaana story haiendelei
Mkuu piga hilo goma jipya...afu utupe mrejesho. Kazi njemaOyaaa
Kuna Pisi mbili
Moja nilishaila kimasihara, ila kesho inataka kuja niipige mara yapili..Maji yakunde ,limejaa mapaja, makalio, chibongee, sura nzurii yaan ana sura sura nzuri....( ndo yule alonambia G hata km unawanawake 100 sitojali)
Nyingine ,nmeijua janaa, leo nmeipanga, kesho inakuja, (hii sijawaj ila)ni toto jeupe limejaa, mapaja, na matako, sura ya kawaida ,limepanda hewan.( ila hili demu mmmhh yaan niyale madem ambayo unaweza hisi hauko mwenyewe, sababu ya umbo lake .....mbinu ileile ya kupiga wasap alafu nalionyesha Ubooo wangu.....( ni limke la mtu .)
Mnanishauri nitombe yupi??????ili mmoja nimwambie asije.
Wote wanataka kuja muda mmoja, na wote wanalala.
Mnanishauri
Nilipanda basi mkweche toka jiji dogo kwenda jiji kubwa. Nilikaa na mwanamke, mwenyeji wa mbeya. Tulisalimiana halafu kila mtu na mawazo yake. Tumefika singida for lunch, akanikaribisha samaki. Mi nikaenda kula hotel. Narudi na juice yangu akaanza kulaum kwa nini kanikaribisha sijala. Nikamwambia awe na amani maana niliamini amebeba cha kutosha.Ni kweli mzee wanawake wanapenda sana uwaambie vitu nasty ni basi tunakuaga waoga! Kuna mmoja tumefamiana kutoka group flan sema bado hatujaonana ila tumetumiana picha tu! Leo kapost status yafuatayo yakafuata
Me: una lips nzur
Her: yah
Me: zinafaa kunyonywa
Her:Jamanii
Me: Anayenyonya anafaidi
Her: hamna hata anayefaidi
Me: duuh hazitendewi haki
Her: akantumia video yake anacheza af akaisindikiza na caption inasema kama lips hazitendewi haki je hili shepu sasa?? ( Ni mtt wa kiislam ana bonge la shape)
Me: kwahyo na huo mshepu hamna mtu anafumia?
Her: Hamna
Me: kwa kweli nimepata hasira kama huo mshepu hauna mtu wa kufumua
Her: jamanii ww akili zako
Me: yani hapa kichwa cha chini kimesha chachamaa
Her: jaman we sikuwez
Kifupisha yan hapa tumeshakubaliana anakuja geto jmos! yani ukitaka mbunye we jitoe muhanga tu!