Nakumbuka siku nilitoroka shuleni, ilikuwa mwezi wa 12 miaka kadhaa iliyopita. Ile katika kurudi nyumbani nikapita shambani kwa Mze mmoja hivi ndipo embe ikaniangukia mbele yangu. Nikaichukua na nikala kimasikhara bila kuosha.
 
kulikua na box la kujisevia ndom hapo washroom
.
Nimeishia hapa kusoma...
Kama masiara yenyewe siku izi ndo yamekuwa yauongo ivi, kwa heshima ya rick boy na huu uzi, ni bora huu uzi ufungwe tu!!
 
Sijawahi kukoment toka uzi huu umeanzishwa,zaidi ya kusoma michango ya wadau,ila hili la kuonga 1.5m kwa ajiri ya mbususu ya usiku mmoja limenishtua sana.
Mwanangu watu wahonga pesa .mm nimeshuhudia manzi ana pewa 2m mzee[emoji51][emoji119]
Sasa kama watu wanahonga gari au nyumba million 2 kitu gani kwao.hawa ndiyo wanafanya uroda upatikane kwa taabu[emoji51][emoji28][emoji28]
 
kulikua na box la kujisevia ndom hapo washroom
.
Nimeishia hapa kusoma...
Kama masiara yenyewe siku izi ndo yamekuwa yauongo ivi, kwa heshima ya rick boy na huu uzi, ni bora huu uzi ufungwe tu!!
Mkuu, hii ni kweli...kipindi nasoma niliwahi fanya field shirika moja hili la binfsi...washroom kulikuwa na boxes zinawekwa ili watu wachukue wakatumie..ni kawaida mkuu.
 
intergrity wewe ni kummHmmmmnina filauni wa kuzimu baada ya carlos kuingia motoni utafata wewe wa mwisho atakua lugumya.mamamaae mimi nitakua shahidi wakati huo nipo peponi nakula bia
Hahahaha, mkuu mimi siko na problem, it is unfair to make comparative analysis between me and Carlos, completely unfair
 
Boss wake hakuamini anajua kuna namna unapiga
Na hapo utaanza kula bure ndo moto utawaka 😂😂😂
 
Mkuu, hii ni kweli...kipindi nasoma niliwahi fanya field shirika moja hili la binfsi...washroom kulikuwa na boxes zinawekwa ili watu wachukue wakatumie..ni kawaida mkuu.
Mi hata ninapofanya kazi now kuanzia getini, washroom pote kuna box za kondomu
 
Watu wanataka kubisha tu humu, ila kama kibunda kinasoma fresh, unaweza pelekea moto pisi nyingi sana town hapa.
 
Huko Ig ndo hata hawavungi, ukimuelewa slide Dm story mbili tatu, akikubali kutolewa out, peleka mbali hukoo ichape bakora za kimkakati [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…