Kaka sauti wala picha visikudanganye, unaweza kuta sauti nzuri sura kama anajiandaa kupiga chafya
 
Hii ni kwa ajili ya mabaharia tu.
Tafuta hiyo apk ya mymessage kwa kwenda google search engine na ukaandika text hide, ukishapakua hiyo utaisajiri kisha utasave huko mishe zako, kisha unaificha hiyo app kwa number ambazo zinaanza na ##.

Yaani hapo hakuna mtu atakayejua mambo zako maana text itakayoingia itakwenda moja kwa moja huko nawe utaletewa notification yenye ujumbe wa kawaida kabisa usiotia mashaka, ukipigiwa simu mara baada ya kukata automatically numbe inafutika kwenye normal call ila ukiifungua app unaikuta.
Ukipakua hiyo inakuelekeza kupakua hiyo app ya txt ya juu yake.

Hii ni kwa wenye magendo tu.
 
Ushauri wa bure huu..
 
Samahani, mkeo unamla tgo na kumnyonya.!?
 
Na ndio maana sifanyi huo ujinga.Unajihisi guilty hata Kwa mkeo?
Ha ha ha ........ Mkuu unamuuliza makofi polisi? Kama ana tabia hizo unadhani ataacha kumla? hawezi kubali sababu anajua asipo mla yeye watamla huko wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…