Weekend inaishia, kuchomekea kunaongeza Sana credit [emoji28][emoji28].

Esha "Nataka kuja nielekeze basi"
Mimi" kuna mvua sahivi subiri iishe basi maana kupata usafiri ni ishu"
Esha "Nakuja we nielekeze au utaki nipajue kwako?"
Nikamuelekeza, kutoka ninapokaa na kwao ni DK 15 Tu Kwa usafiri, mara mtoto huyooo kafika although ilibid nimsubirie Kwa nje,

Esha "Ndio unakaa hapa?" Yani Kama anashangaa hivi,
Nikamwambia ndio, kafika geto tukapiga Stori mbili Tatu, huku tunashushia na IMPERIAL BLUE, aiseee nimesahau kabla ya hapo mtoto alipoingia ndani si alikuwa kalowa kidogo akataka avae khanga aliokuja nayo, fresh daaahh mtoto ana Shepu Yule alaf kaenda hewan kidogo alaf Kama jina lake ni shombe shombe WA kiarab, akaenda washroom akabadilishe akarud kavaa khanga bwana hapo akili imeshaama kutoka kichwa kikubwa kwenda kidogo, tukajiboost na imperial blue huko mvua inakazana, mtoto mara kucheka kwing, nikamvuta karbu piga mate na pale kavaa khanga na pichu Tu, ilikuwa ni kumchezea had kalainika, nikampa ub** aingize chorus Kama DK kazaa nikachukua ndom nikapiga, katikati ya show mtoto kachomoa mashine mbele kajiingiza nyuma mwenyw..daaahh watoto WA pwani ndio maana kule ukienda unaweza ukasahau kwenu. Mtoto kaikatikia Sana utazan mmakonde bwana kumbe shombe, tukamaliza lakin naona Ile imperial ilimpa mawenge pia baada ya hapo akazima na usingiz Kama WA buku 5 hivi, asubuh nikapiga tena manzi akaondoka zake.
Baadae kanichek maswali ya kijinga jinga mara unafanya kazi wapi? Nikawa nampa majib ninayotaka niliendelea kupiga Ila ilifika kipindi alienda kwao zenji kuolewa na bwana aliemzalisha.

BS
nipo zangu club na mwana yupo na dem wake na huyo demu yupo na rafik Ake anaitwa Esha (japo sio halisi), mwamba hapo nimechomekea Kama mwana mflani hivi ambae ana shida ndogo ndogo alaf nakunywa zangu nyagi na Maji pole pole, sasa huyo Esha mzuri kinoma alaf shombe, hapo wanakunywa zao chui chui japo Esha akaomba nyagi kidogo achangamke nikampa Ila hapo sina story nae yoyote MDA wote nipo bize na hivyo mkanda nje dem akajua mwamba labda afisa flani hivi MDA wote yupo bize,
Sasa kuna mwamba alikuwa kila SAA anakuja kumzingua Yule Esha although huyo mwana namfaham, baadae Yule mwana akaniambia Yule Esha ana Duka mjini anauze nguo za kiume, nikamuuliza umemla akaniambia bado Ila anafukuzia sasa Kama vile Esha alikuwa apendwi mwana anavyomsumbua, manzi alikuwa analalamika kila SAA mwana anakuja kumshika tako sasa yeye apendi, basi akaamia akae namm kwasabab kaniona "MSTAARAB" mwana akuja tena, akawa anaongea ongea Sana japo hapo kidogo nilipunguza matumizi ya simu, mara ooohh tukacheze mziki nikamwambia siwezi kucheza, basi nayeye akakaa mida ya kuondoka wao waliwahi na kabla ajaondoka akaomba mamba yangu nikampa, tukawatoa nje, kafika naona text "nimefika tayari thanks" nikamwambia "poa", kesho yake kila mara SMS mara umekula, unafanya nn, upo wapi, nikawa napanga nimle huyu manzi bila kutoa hata sent yangu [emoji28][emoji28]. Sasa hapo mchana siku ya pili anataka aje apaone ninapokaa nikamwambia nitakwambia baadae hapo siku ya Kwanza nilimkazia asije Kwa makusud Tu na hiyo yote kumpanga asiingie Tamaa ya kuniomba ela.
 
Lakini sikumuomba chochote mkuu, hata hela ya kulipia room alijipendekeza mwenyewe sikumuomba. Sasa ulitaka kisa nilikuwa mgeni kule ndo nitoe **** kirahisi hivyo?

Jamaa alitaka kutumia uwenyeji ipasavyo lol.
hapo wewe umekulala kimasihara badala ya kuliwa kimasihara[emoji3]
 
Kuna siku nlikua zangu Site nasimamia mafundi wanajenga kibanda changu. Hapa alikua fundi Beka jamaa mmoja ivii ana maneno mengiiii. Mimi nipo kwa ndani fundi yupo juu anasaidiana na masaidia wake wanamwaga zege kwenye Linta
Mara akapita Kichenchende fulani iviii, fundi Beka akamwita akamwambia utaitwa na Boss uku ndani njoo. Mimi nipo ndani ata sielewi kinachoendelea uko nje mara yule kichenchede akaingia ndani ya lile Boma akasema nimeambiwa naitwa, nami bila kuvunga nikamchota maelezo pale akanambia anaenda kwa sista wake, basi nikamtuliza nikamwambia twende kwanza tukanywe soda afu ntakupeleka uko kwa sista wako.(Uyu kichenchede akakubali)
Basi nikamuaga fundi pale(hata hakuamini na hakutegemea kama demu angekua mlaini namna ile na angekubali kuondoka na mimi) nikamchukua yule kichenchede kwenye TVS yangu haooooo tukasepa njiani akauliza unanipeleka wapi nikamwambia tulia tunaenda sehemu salama kabisaaa. Nikatia gia hadi KWA BABU LODGE nikachukua chumba tukaingia ndani. Tulipiga show ya hatari maana yule kichenchede ni fundi balaa. Tumetoka pale too late nikampeleka maendeo ya kwa sista wake.
Kesho yake nafika Site fundi Beka ananiuliza jana ulimpeleka wapi yule mtoto, nikamjibu nlimpeleka kwa sista wake alikua hakujui.(sikutaka kumsimulia kilatukio mana pale Site Wife hua anakuja pia so sikutaka kuchoma kibanda kwa mdomo wangu)
Kiufupi yule Kichenchede aliliwa Kimasihara sana mana alinikuta nimekaa Site kizembe tu sina mpango nae hakutaraji kama angeliwa kizembe namna ile hata fundi Beka hakutaraji kama yule Kichenchede alikua anamuita aende akalombwe.
IMEISHA IYOOOOOOO
 
Habar za jumapili mzee wa site
 
Hukujua tu, fundi alikutoa kiaina ili avushe cement[emoji1]
 
Kaka pole sana ukapime nasisitiza kapime wale mademu wa hapo wengi ni chanya alafu huwa wanapenda sana watu wenye magali na maranyingi namba zao za simu huwa hazipatikani mpaka wao ndio wakupigie
 
Kimasihara nishakula nyingi tuu ila hii ilinifanya nijute na kumkimbia huyu binti. Alikuwa ni mtoto wa staff mwenzetu ofisini alikuwa amekuja mkoa huo kumsalimia mama yake. Hivyo vijana wa ofisini tulikuwa tunafahamu ujio wake na baadhi walishaanza kusalandia kwa mtoto. Siku hiyo nilikuwa nasafiri ivyo nikawa nimeomba ndoo kwa mama yake ili niweze kubebea nyama ya mbuzi niliyokuwa nimemnunua na kumchinja kabisa. Mama akanielekeza kwake nitamkuta mwanaye atanipatia muda huo tulikuwa kazini. Nikazama hadi nyumban kwa bi mkubwa na kumkuta binti yake alikuwa na umbo kubwa tuu ila ni mdogo kiumri(she was in early 20s), alikuwa kashaanza kuliwa na masela wa magomeni. Kuzama ndani kuchukua ndoo nikaungw na akili zangu za kichwa cha chini nikamshawishi hadi alikubali kuliwa. Cha ajabu baada ya kukojoa tuu niliumwa na tumbo la ajabu, maumivu yale sikuwai kuyapata maisha yangu yote. Tumbo usawa wa chini ya mbavu kushoto misuri ya tumbo ilikuwa inavuta balaa na kuishia kugalagala chini ya sakafu kwa muda wa karibu dk 15. Cha ajabu binti hakuna na hofu yoyote ila tangu siku ile licha ya kuwa na namba yake sikuwai mpigia na hadi leo mama ake hajui kama nilikula mwanae
 
Mtakuja kurogwa! Kuna baadhi ya familia zina zindiko
 
Wwngine mnajijua mlivyo ndani ndio maana hamjiamini ukute ndani machicha machicha lazima uwe harsh unajua muda wote unaenda kupata aibu

Kuliwa kimasihala pia ni kuwa unajiamini huna chengachenga kwenye tumbua lako

Inaboa ila vumilia kimasihara!

Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…