Inaonekana hukumpiga shoo ya maana ndo maana alikusonya means ameshakudharau. Tafuta kaupenyo ka kumpata urudie mechi aisee ili uweke heshima mzee wa kasumba,
 
Cku moja alikuja demu mmoja magetoni kipind hcho tumepanga nyumba mzima na mchiz wangu mmoja hv alafu tulikuwa wana kichiz sasa yule demu alikuja wakati tunapga msosi. Nia ya yule demu alikuwa amfuata mchiz sema mchiz alikuwa hana time nae na alikuwa anampiga chenga hv sasa baada ya kumaliza kula jamaa akachomoka akaniambia mm nasepa nikamuuliza huyu demu vp sasa akamimbia cna mpango naye atajua mwenyewe mm cjamuita alafu cna time nae. Basi km masihara wkt huu nachat na msela kwenye cm nikamwambia basi mm namla jamaa akaijbu we tumia tu wkt huo huyo demu alikuwa mgeni wala hatujawahi kuonana na jamaa hajaw kumla bac jamaa kunijbu vle cjui alihic masihara bwana bwana nikaanza kumchekesha chekesha yule binti mara nikaanza papasa km utani vle demu ctak bwana ctak huku anajchekesha mara nikaanza chojoa nguo mwishoe mzgo ukaliwa.
 
Ilikuwa mwaka 2016 nimemaliiza form 6 nipo home nasubiri majibu pesa mfukoni sina na mchumba kanikimbia kisa siwezi kumtimizia mahitaji yake kapata bwana mwingine anayejua kuhudumia

Wakati huo nipo na stress za kukimbiwa na mchumba Nina kaka yangu home anapenda sana kununua gazeti la risasi basi baada ya kulisoma lile gazeti nikaona page kwa ajili ya kutafuta marafiki yaani unatuma namba yako ya simu, majina kamili, picha na ujumbe mfupi wa maandishi kisha unatuma WhatsApp kwenye namba iliyokua kwenye gazeti kisha mhusika anaitoa kwenye gazeti

Basi kimasihara nami nikajaribu niliweka picha yenye sura yangu tabasamu matata baada ya wiki moja taarifa zangu zilitoka kwenye gazeti basi kuanzia siku hiyo simu yangu ilikua bize mademu wanapiga na kutuma msg wakiomba urafiki

Sikutegemea kama ningetafutwa na kuombwa urafiki kiasi kile ilifika wakati mpaka mashoga tofauti tofauti nao walinitafuta nikawagonge ilifika wakati nikaona kero na kila uchao watu wanazidi kuongezeka wakitaka kuonana na Mimi na mashoga nao hawakua nyuma

Baada kuona kero imezidi nikamchagua binti mmoja huyu alikua serious zaidi na Mimi nilipenda sauti yake lakini sura yake sijawahi kuiona na mitandao ya kijamii hayupo baada ya hapo nikabadili namba maana wale mashoga walikua wanasumbua mno niliogopa nisije nikashindwa kuzuia hisia zangu nikaenda kugonga shoga maana wengine waliniahidi wayanipa pesa.

BINTI ANADAI TUONANE AMECHOKA KUONA SURA YANGU KWENYE GAZETI

Basi baada ya kujichanga nikamwambia binti aje ninapoishi lakini nilikuwa na wasiwasi sana sababu sijui jinsi alivyo nikapanga mpango wa Mimi kuanza kumuona yeye kabla ya yeye kuniona

Baada ya muda yule binti alifika aisee!! Nilishangazwa jinsi alivyo sikuamini alikua demu mzuri na alipendeza sana nilihisi nimeokota embe chini ya mnazi nilimfuata na kumshika mkono aliponiona alitabasamu sana kidume nikamuongoza geto wala hakugoma

Msichana alikua ni mrefu maji ya kunde na anashepu moja matata anapua ndefu alinambia mzazi wake mmoja anaasili ya kitusi kutoka Rwanda Ila elimu hana

Baada ya kupiga stori za hapa na pale nikaomba mchezo mtoto akagoma baada muda nikajifanya nimenuna mtoto akaachia dah! Mtoto alikua msafi na ni mtamu hatari yaani nimekula mzigo bila ya kutongoza

Hadi leo hii bado ninawasiliana nae na nikihitaji mzigo ananipa na yeye akijisikia ananitafuta analikubali sana gegedo langu ila sina malengo naye ananikeraga tunapokua faragha siku hizi amepunguza mautundu nikimpiga viwili hataki tena kuendelea anadai namuumiza na kilio juu sijui anatatizo gani kwenye papuchi yake nimeamua kumkataa kimtindo.
 
Demu akiwa na genye kigezo cha kujua ni k inabana???
 
Manzi gani uyo
 
Zali la mentali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…